Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakaka wa MUHAS ni hatariiiiii [emoji3544] yaani mfano tu ukiwa pale hospitali wale wanaofanya field na makoti yao daah [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Ngoja nitafute koti langu la buchani nipite pite mitaa hyo ya muhas [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora COET UD au DIT.
NIT si VETA iliyochangamka. Khaaaah
Oyaa ehhh wanangu wa NIT mnamuona mtoto wa UD huyu anatuita sisi VETA [emoji378][emoji378][emoji379][emoji379] boykaaaaa njoo hapa ujibu

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Unaweza jogging ww binti lkn
Mambo baadae ya kusema nibebe mm siwez mm napiga mabio marefu full ugaigai masinondo, madesa kama yote

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Haha nitalia aisee bado ndo nataka nijifunze
Kumbe upo vyedi kwa suala hilo.

Tutaenda mdogomdogo hatushindani bhana ..
 
Oyaa ehhh wanangu wa NIT mnamuona mtoto wa UD huyu anatuita sisi VETA [emoji378][emoji378][emoji379][emoji379] boykaaaaa njoo hapa ujibu

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa NIT Nako kuna wanaume wa kueleweka? Seriously?? Hapanaaaaa.
 
Back
Top Bottom