Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
PoleSite muda huuView attachment 2295756
PoleSite muda huuView attachment 2295756
Hakuna mamito, fanya hivyo basiUlale na kwann hakuna wapishi?
😍😍Jioni mwendo wa Ngoma nzuri Lenie mwenye kitu flani eeh . Depal anakuonea wivu tuu
View attachment 2295556
😁😁😁 watu wa JF walivyojaa stress, wangekuchambua mpk kona ambayo hukupaka mafuta 🤣Hata sikujua mwenzio mbona wangenimalza kwa kichambo uwiiih!
Huko nilikua nakoment mambo ya 23% kumbe nilikua sijatoka nikatupia najua nipo selfika walai 🙆🙆leo kweli nilivurugwa kidogo Mdogo wangu ila thanks God now im ok!!
Ubarikiwe sana dear
Alijipost uzi gani huko habari na hoja mchanganyiko,, kama mm mchana ile picha kuna mtu wa branch alinambia msalimia sis flani,, sasa mm ndio nikamzoom nikampiga picha nimtumie,, ndio ikatokea picha ikaja kwako 😂😂Hahahaa kumetokea nini kwani huko mtaa wa 7😂
Siku si ukosee utume muamala🤣🤣
Hello
Nipo sehemu natupia moja moja, huwa unatumia?Lete picha
Nipo sehemu natupia moja moja, huwa unatumia?View attachment 2295777
Nko salama kabisa sijui wwMarahabapisi kali
U hali gani mchuchu![]()
Ntakupiga kombola la kisukumaNiloge tu mpenz Lovelovie kwngn nisione nikuone wew tu Yan uwe pazia kweny mbon za macho yang love
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Ndo likoje hiloNtakupiga kombola la kisukuma
Sawa. Bby Niloge tu na kombola la Kusukuma nisjielewe kwako sem usizidishe dawa nkasahau familia yang ety malkia wangu mrembo LovelovieNtakupiga kombola la kisukuma
BossNipo sehemu natupia moja moja, huwa unatumia?View attachment 2295777
Sasa hivi harusi ni nyingiAnaupiga mkubwa hadi unatokwa
Aisee,Nina michango kama yote
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nambie boss😂.
Mbona ningelog off kwa muda walai asante sana umenisaidia sana walai😁😁😁 watu wa JF walivyojaa stress, wangekuchambua mpk kona ambayo hukupaka mafuta 🤣
Pole ..