Bwana Fulani
JF-Expert Member
- Mar 25, 2019
- 656
- 3,386
Unani-marinate, sio? 😂Tall dark and handsome 😋
Toa sasa emoj usoni
Unani-marinate, sio? 😂Tall dark and handsome 😋
Toa sasa emoj usoni
Classic rock swagg on[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kwaya nilishakimbiaga toka ambassadorNenda mazoezi ya kwaya
Utakutana na mwalimu hapo akupange vyema
Kuimba ni kipawa .. sijui kuimba vizuri ila siwezi acha kumuimbia aliyeumba mbingu na nchi
Nipigie kwanza video call nipo bafuni 😄😄Ndiyo
Wameishalowa tayari badoo kupeleka moto tu 🔥🔥😄😄😄
🤜🤛Classic rock swagg on[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Jiunge AY basi
Hapana 🤣Unani-marinate, sio? 😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii nchi ina vijana [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Nipigie kwanza video call nipo bafuni [emoji1][emoji1]
Sina mb 😃Nipigie kwanza video call nipo bafuni 😄😄
Ahh siwez yani wana bahat dingi angu shemasi tu kanisan wangenisikia tu Ila siyo Muda nawavutia pumzi tuJiunge AY basi
Huko hakuna stress nyingi
Umeanza tena.. hata bundle mpewe 🙆🙆🙆Sina mb 😃
NdiyoUmeanza tena.. hata bundle mpewe 🙆🙆🙆
😄😄😄😄 Nae kule anakuwa bafuni.. tunakuwa na kikao chetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii nchi ina vijana [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Hahha kumbe usiniambie shemasi MkuuAhh siwez yani wana bahat dingi angu shemasi tu kanisan wangenisikia tu Ila siyo Muda nawavutia pumzi tu
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mni connect na mm basi niwe mjumbe kwenye hiko kikao[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Nae kule anakuwa bafuni.. tunakuwa na kikao chetu
Mpuuzi sana wee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wameishalowa tayari badoo kupeleka moto tu 🔥🔥😄😄😄
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman kanisani unaenda saa tano akiii ww binti ww [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Hahha kumbe usiniambie shemasi Mkuu
Vipi makambi huko tayari ?
Jitahidi uende usali ushauri unatoka kwa binti anayefika kanisani saa tano kasoro... wakati wa matangazo ya kanisa .
Mwalimu wangu wa upuuzi uzuri upo hapa unafanya supervision ya mwanafunzi wako 😁😁😁😁😁😁.. Fanya namba basi au nije maji yatagana au wewe badoo kuogaMpuuzi sana wee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣