Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,221
Utajua mwenyewe njia ya kupitia 🤣 ila muhimu ufikie missionBank is problem solver 🙍🙍🙍
Utajua mwenyewe njia ya kupitia 🤣 ila muhimu ufikie missionBank is problem solver 🙍🙍🙍
Natumia Ile yenye kasungura au proton Ili hacker wasije doea kikao chetu








huyu kijana apewe ulinzi 


Ambavyo sijakaa kisabato sasa
Aisee itabidi malaika wa ndoa aingilie kati .
Lini utaenda shopping tuchague suit ya makambi day ?View attachment 2295576





embu nitumie picha pm nione Unayumba 🤣🤣
Ijumaa utaniona ambavyo sifananii


SawaIjumaa utaniona ambavyo sifananii
Nipo nipo tu![]()


Haya ndugu
@Mac Alpho tajir wa roho mwenye unyenyekevu msikivu boss mwenye meli zake mtaalamu wa kubet Tanzania
Daaaah nilikuwa najiuliza sana ile ID imeenda wapi? Hii comment imenichekesha sana aiseeh, yani hadi yard Afrika Mashariki umenipa (nizitoe wapi mimi)@Mac Alpho tajir wa roho mwenye unyenyekevu msikivu boss mwenye meli zake mtaalamu wa kubet Tanzania
Fanya mpango wa vocha basi boss pekee mwenye yard zake Afrika mashariki boss Mac Alpho
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Kwema boss umeamdimika sana Tajiri wanguDaaaah nilikuwa najiuliza sana ile ID imeenda wapi? Hii comment imenichekesha sana aiseeh, yani hadi yard Afrika Mashariki umenipa (nizitoe wapi mimi)
Kwema mkuu?![]()
Nitapata wapi dawa ya kuacha kubeti, huo ndo ugomvi wangu na mtoto wa watu.
Thanks GOD niko poa Mac 😘
Tubless na selfii yako jioni yetu umalizie vizuri MacDaaaah nilikuwa najiuliza sana ile ID imeenda wapi? Hii comment imenichekesha sana aiseeh, yani hadi yard Afrika Mashariki umenipa (nizitoe wapi mimi)
Kwema mkuu?😄
Nitapata wapi dawa ya kuacha kubeti, huo ndo ugomvi wangu na mtoto wa watu.
Anaupiga mkubwa hadi unatokwaAmbavyo sijakaa kisabato sasa
Aisee itabidi malaika wa ndoa aingilie kati .
Lini utaenda shopping tuchague suit ya makambi day ?View attachment 2295576



Jamaniiiii 😂😉
😄😄😄Unayumba 🤣🤣
Ubusy ndo unafanya nisionekane mara kwa mara huku, ila tukipata muda kama hivi lazima tukumbukane.Thanks GOD niko poa Mac 😘
Kimya sana mkuu!!!
😄😄Jamaniiiii 😂😉
✌️✌️✌️✌️ Tubless basi ili mabusu yaongezeke speed mkuu 🤣🤣🤣😜Ubusy ndo unafanya nisionekane mara kwa mara huku, ila tukipata muda kama hivi lazima tukumbukane.
Nimelipokea kwa bashasha zote hilo busu😊.
Vibaya hivoo ujue!!