Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Landed safely. ThanksSafe flight mkuu

Ndio wapi TEMESA?Km TEMESA kigamboni.![]()
MhhNdo penyewew hapa,![]()

Sawa Mjomba!Namalizia chai shangazi nitupie kitu 😄😄
Hahahaha aisee
Ila wewe sio single bhana .. ulivyo hivyo mtoto mrembo, cheupe , glowing skin portable ile mbaya .
Nipo poa pia




, nipo singo eti dear.Basis mambo yente yente,Kuna Ile, ni mnakuwa wapenzi, marafiki, washakaji, wana, masela na hata business partner Kwa wakati mmoja, watu wa hivi utakuta wameachana ila still wapo pamoja na furaha na amani kama zote..
Acha kumfatilia X wako 🤣
Very rare
Wabongo unaachwa huachikii, kutwa kumfatilia X wako anakwendaje na mambo yake![]()






Kabisaaaa ila kuna kautamu kakua singo hiviii.Naelewa shos
Lonely nights tu mwenyewe .. no morning text or goodnight text .
Upo tu mwenyewe na kasimu kako





Hahahhahahahha... nahisi wewe unaelewa hilo shoss...unajiuliza hupati majibu yani unabaki tu
Ni changamoto sana!




mic u shougaaaa angu!!!Mmmmh hapana.Kabisaaaa ila kuna kautamu kakua singo hiviii.
![]()
Mpost nikupe buku
😍, nipo singo eti dear.
Wee....
Kwa hiyo umeshanimwaga??



wee tena si una wachumba humu, wa 3 tena unabadilisha tyuuh. Naogopa kurogwaaa eti? 



Miss you more shoss!!mic u shougaaaa angu!!!