Gunther Schwagermann
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 7,342
- 17,661
Uko peng wallahhh.
Uko peng wallahhh.
Tunazungumzia nini kwani dadambona umenicheka sasa eti??
hizo ngiri ni ngiri kweli au unamaanisha wale ngiri wa nyumbani??








hamna nijibu hilo la mwisho ndiyo lugha gani halafu sikuulizi tena,, nikikuuliza tena nidai ngiri








Nimejihisiiii niko homeeeee!!!Hahah...umejitetea mwenyewe
Ni kenyan sheng hiyo, ni lugha ya kawaida sana ukiwa Naiiii (nishawahi ishi huko)...
Jina nyingine ni mashinani, moshatha au ocha...
Vile we ni sonko utanipatianga ngirii mob hadi na mi nijipate mdosi
Haina pesa wakati naona manoti hapo mkuu,hapa nilipo sina hata buku.Droo yangu Leo haina pesa View attachment 1255442



usipojua maneno unaweza usielewe kitu, ni kama sheng za Chugga zile...
Ndio maana huu uzi siutakiAfadhali umemaliza utata
Kule siooKilemakyaro![]()
Nimejihisiiii niko homeeeee!!!
Kijijini hukuuKilemakyaro![]()
Kule sioo
Yaaanii nimechekaa halafu niko msituni huku basi sauti inakurudianini tena sasa