Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Toto la kitanga,katika watu wasio ringa wewe upo katika list yangu.






wanywa soda utawajua tu wanachapia hadi majina ya vinywaji vyetu aisee
Ndiooo k can't
Fanta za wagonjwa wa malaria
Pole sana 😂😂😂😂😂
Chizi wewe haki ya Nani.
Nimecheka Sana.
Umeniquote kabla sijabadili![]()
Nimecheka sana halafu nipo kwa watu ujuePole sana![]()

👊👊👊👊 watuawache na super spirit yetu 😂shaabash nipe tano,, watuwache na kei vanti zetu sie siyo walevi..



nimekenua hadi meno ya uani yameonekanaWewe upo top ten.
Unataka kunichora?Geuka tuone chura!![]()
End of December.nimekenua hadi meno ya uani yameonekana
Tuzo lini sasa kaka??
Kwani na wewe si mtu 😂Nimecheka sana halafu nipo kwa watu ujue![]()
hamna nijibu hilo la mwisho ndiyo lugha gani halafu sikuulizi tena,, nikikuuliza tena nidai ngiri
watuawache na super spirit yetu
![]()
End of December.



aisee kiswahili ya kenya huwa inanifurahishanga sana joh...sawa budda ngiri iko kwa road kukujia utaipata iko kwa door yako
Hahah...umejitetea mwenyewe
Ni kenyan sheng hiyo, ni lugha ya kawaida sana ukiwa Naiiii (nishawahi ishi huko)...
Jina nyingine ni mashinani, moshatha au ocha...
Vile we ni sonko utanipatianga ngirii mob hadi na mi nijipate mdosi
😂😂😂💃
We kitoto Cha IAA umenishinda
aisee kiswahili ya kenya huwa inanifurahishanga sana joh...sawa budda ngiri iko kwa road kukujia utaipata iko kwa door yako
Always welcome mythanks my![]()

Ghaiii hawezi kuwa na hiyo dooakikuja na swali nyingine inabidi aache ngiri mbili nimjibie