Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
Nimecheka hatarii.... pepsi yake na malta🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!shangazi bhanaa, uwiiiiih
Nimecheka hatarii.... pepsi yake na malta🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!shangazi bhanaa, uwiiiiih
Rise and fall nimekumbuka mbali
Hebu nioneshee shougaaa,Baki hapo nikuoneshe kitu shos angu!!
Tatizo unakimbiakimbia shoss Nawewe nishaweka hapo imekaa sana... haya tuliaaaHebu nioneshee shougaaa,
Ahsante Sanaa!!!Ila unene unakuja na tumbooo balaaa!!!

Dada upooDada nimerejea 😇
Kheeeeh Jux ana wimbo simuachi??Hakii umenishinda tabia ujue nimekuonesha kitu kimekaa hadi nimefuta Jamani!!
Jux -Simuachi
Ahsanteeee mama malezi.Mama hekaheka; umemissika pia. pole na hongera kwa kumaliza pepa
Hana habari mwenyeweee.Nimecheka hatarii.... pepsi yake na malta!!






NambiePoaaaaah cuzooooh, mic u.![]()
Sahivi nipo hapa sitokiii.Tatizo unakimbiakimbia shoss Nawewe nishaweka hapo imekaa sana... haya tuliaaa
Cuzooo ake coca nakusalimia mie!!Nambie
Nipo dada, za kutwa? Ukapotea mazima jamaniDada upoo
Mbna km madimbani??![]()
madimbani ipo wapi? [mention]cocastic [/mention]Aki me ningekinywa usiku wa manane nikiamka kususu😋