cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,175
Kusema kweli kaka Mjep sie wengine tutumie tu PM hapa hatuwezi kupata





bila PM hupati kitu hapaKusema kweli kaka Mjep sie wengine tutumie tu PM hapa hatuwezi kupata





bila PM hupati kitu hapaAkili imetulia na umeridhika tu mamy!!Wee...unene shida nakua tutusa ujue,T 3 zote zinasimama!!
Afu nna kazi ngumu mnooo....sijui nanenepea Nini....
BFF wa ukwee kabisa. Love is a true friendKabisaaa na Lenie ndio BFF 🤣🤣
Mtasererekea baharini hapo ndo akili itawakaa.







T3Wee...unene shida nakua tutusa ujue,T 3 zote zinasimama!!
Afu nna kazi ngumu mnooo....sijui nanenepea Nini....




Hit gani hii??Wanini ung'adunga'adu kufukuza mendeee
Yanini, kuwa waruwaru nikuumize uendeee
Kwanini, niwe wakuchovyachovya nikauingia mkengee
Niaminii,
Nawe usijepata bichwa ukaota mapembeeeee
Evening ladies and gentlemen![]()
Kweli eehh...yaani usemacho ni kweliAkili imetulia na umeridhika tu mamy!!
Hakii umenishinda tabia ujue nimekuonesha kitu kimekaa hadi nimefuta Jamani!!Hit gani hii??
Woooow mama malezi, mic uBinti Abiud on fleek.
None of the above my dear![]()





Aaah wapi bina. Haki umekuwa mnono bina
Mama hekaheka; umemissika pia. pole na hongera kwa kumaliza pepaWoooow mama malezi, mic u![]()
He he he!!Aaah wapi bina. Haki umekuwa mnono bina








weeh! kwelii?kaahhhUsinenepe sana ila umenougaaa hataree!!😘Kweli eehh...yaani usemacho ni kweli
Maana km kuridhika ndo kunanenepesha baasi ndo hukuu
Niko busy Monday to Sunday!!!
Ila limwili daily from 64kg to 75 jus imagine
Re hanimuniRe- honeymoon??![]()
Mbna km madimbani??HahahaNimekuelewa, Hiyo nikiwekaga Portrait mode inafanya mambo sana.
Unaweza zoom Location hapo, hapa ukija kumwagilia moyo low budget inawekana
Unaingia ndani unanunua mambo yako unayopenda unakuja unakaa hapo nje, Huku ukienjoy ka mziki kwa mbali, Sauti ya fountain , Na kuna sungura watakua wanazunguka zunguka miguuni hapo, Ukienda na watoto ndio safi kabisa.
View attachment 2294499





Basi zinazingua![]()

Hair cutt


