Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Acha woga wewe...Badala umkumbatie mkeo, wee baridi husikii??![]()

Acha woga wewe...Badala umkumbatie mkeo, wee baridi husikii??![]()

Sipo homelocation mda huu?? Si uko home wee.
@cocasticAje hapa nilipo
Ungekua upo Mwanza ningekuita we ukakaa na mgonjwa hapa hospital me nkaenda nje kulalaMbna mda umeenda sana, out enyewe natoka wapi?
Hata pesa sina.![]()
MhhhhLeo huna usingizi nikupe location uje chap?
Pole kwa kuuguzaUngekua upo Mwanza ningekuita we ukakaa na mgonjwa hapa hospital me nkaenda nje kulala
Anaogopa kujaMhhhh
Duuuh poleee sana dear, si umuombe hata nurse ulale hapo chini chumbani. Maana mmmhUngekua upo Mwanza ningekuita we ukakaa na mgonjwa hapa hospital me nkaenda nje kulala
Unakataa locationwoga wa nn??

Wee baba kwa kuzurura hujambo, mkeo anavumilia kwa kweli. Km tuzo inabidi apewe, sio kwa uvumilivu alio nao.Sipo home







Kawaida tuWee baba kwa kuzurura hujambo, mkeo anavumilia kwa kweli. Km tuzo inabidi apewe, sio kwa uvumilivu alio nao.
![]()



Asante dearPole kwa kuuguza
Ukilala wanakuja wanakwambia amka dear utakiwi kulalaDuuuh poleee sana dear, si umuombe hata nurse ulale hapo chini chumbani. Maana mmmh
Hata me nshamuona simuwezi kabisaHuyooo utamuweza.![]()
Usimsikilize huyoHata me nshamuona simuwezi kabisa

Kawaida tu![]()





huogopi? Mkichapiwa muanze kushoot bullets, kumbe mnatakaga wenyewee.