Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Wewe una bangi kichwani sio Burehaki vile natamanigi sana hiyo scene inikute siku moja ila tu isisababishe ajali,, tena nikiwa ndani ya dude moja la uarabuni kati ya emirates au etihad siyo hutu tupanzi twetu..
![]()




Ukazunguke na li Etihad



..kwanza ujasiri wa kufurahi unautoa wapi chombo kimeshindwa kutua

.Nina wasiwasi ulitamani juzi Kati ungekuwa kwenye air tz iliyokuwa ikienda mwanza iliyopata hitilafu na kurudi kutua dar


