Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

haki vile natamanigi sana hiyo scene inikute siku moja ila tu isisababishe ajali,, tena nikiwa ndani ya dude moja la uarabuni kati ya emirates au etihad siyo hutu tupanzi twetu..
Wewe una bangi kichwani sio Bure
Ukazunguke na li Etihad ..kwanza ujasiri wa kufurahi unautoa wapi chombo kimeshindwa kutua.

Nina wasiwasi ulitamani juzi Kati ungekuwa kwenye air tz iliyokuwa ikienda mwanza iliyopata hitilafu na kurudi kutua dar
 
This morning
20191106_104006.jpeg
 
Ningetaka kujipa ujiko ningesema kweli ni abroad ila ni vile tu haina maana,, Rovos huwa inakuja bongo kila mwaka mkuu na siku hiyo ilikuwa kama zali tu tumeingia kutoka mbeya tunaikuta pale tazara dar imepark ndiyo inajiandaa kuondoka huwa haikai sana hapa na ni bahati kuiona maana inakujaga bongo mara moja moja ndiyo maana nikaona nichukue tupicha twa ukumbusho maana moja ya ndoto zangu ni kuja kuipanda siku moja..

Cc Relief Mirzska
Mkwanja wake mrefu...

https://www.trainsafaris.com/rovos-rail-rates-and-dates.html[/UR]
 
Back
Top Bottom