Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,870
- 37,644
Madam we ndo Jana sijakuona humuUmepotelea wapi Tina lakini?? Umemisika sana mamii;
Nipo bwana
Au tulipisha a
Madam we ndo Jana sijakuona humuUmepotelea wapi Tina lakini?? Umemisika sana mamii;
Nipo mamy, ni majukumu tu ya hapa na pale yananibana siku hizi.Miss you sana kipenzi ndio nini kupotea ivo jamani!!![]()
kanitajiq sehemu flani iko Moshi, kasema ni pazuri sana na hapana jam la watu.. sema nimesahau jina
..
Acha tu Nimekuza mamy!! Usiwaze mie teinaaaaaaaaaa!! kuna jimbo la Dr Satoh Hirosh liko wazi!! Ngoja nichonge nae sweetie usiwaze kabisa!!Sweetheart siku hizi unaozesha. Naomba uniozeshe na Mimi basi
![]()
Hili ni tatizo kubwa snWee huko kukubali vipi tena na tushakubaliana you are Mrs Vocha???
Akwendreee akatafute kwingine hapo pako Fully occupied usiniangushe mamy!!![]()




Mnoooo dear.km nakuona ulivyo freeee
Hivi kumbe sketi za malinda bado zipo eehAcha dramaile picha ina shida gani?
Nimevaa sketi, tena sketi ya marinda

Haya ndo mambo ssKikuletwa Hot springs (maji moto), Moshi . kama picha zinavyoonesha mandhari nzuri kabisa na ya kuvutia ambayo itakufanya urefresh na kutuliza akili yako.View attachment 2291312View attachment 2291311View attachment 2291313


Hili ni tatizo kubwa sn
Mr vocha Mjep ana influence kubwa sn hapa,siwezi kuwekeana nae msuli nikamshinda![]()



Kula maisha kula Maisha mamaaaa!!![]()



Pazuri kweliHaya ndo mambo ss
Tin mambo
Weka tena na Mimi nioneNdiyo aunt Abiud![]()
Mr vocha Chata kubwa watamuwezea wapi
Ndioooo





!!! 

Acha tu Nimekuza mamy!! Usiwaze mie teinaaaaaaaaaa!! kuna jimbo la Dr Satoh Hirosh liko wazi!! Ngoja nichonge nae sweetie usiwaze kabisa!!



Pazuri sn..Ila mimi sipendi kuogelea maji yanayopita chini ya miti,ninakuwa na hofu ya nyoka wanaofata ubaridiKikuletwa Hot springs (maji moto), Moshi . kama picha zinavyoonesha mandhari nzuri kabisa na ya kuvutia ambayo itakufanya urefresh na kutuliza akili yako.View attachment 2291311
View attachment 2291313