Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,150
- 28,864
Mwambie aweke na picha kabisaAcha tu Nimekuza mamy!! Usiwaze mie teinaaaaaaaaaa!! kuna jimbo la Dr Satoh Hirosh liko wazi!! Ngoja nichonge nae sweetie usiwaze kabisa!!


Mwambie aweke na picha kabisaAcha tu Nimekuza mamy!! Usiwaze mie teinaaaaaaaaaa!! kuna jimbo la Dr Satoh Hirosh liko wazi!! Ngoja nichonge nae sweetie usiwaze kabisa!!


Selfika basi mrembo

Labda kwakuwa kaona laining ilipoishiaIna mitego gani hyo, mbona unaingia kabisa kwa mzee wa upako
Tatizo sijapiga mpya dearnilikuwa bize haswaaa
EehLabda kwakuwa kaona laining ilipoishia
Sio chemka spring/ Kikuletwa, kwenyewe panaitwa Materuni waterfallKikuletwa Hot springs (maji moto), Moshi . kama picha zinavyoonesha mandhari nzuri kabisa na ya kuvutia ambayo itakufanya urefresh na kutuliza akili yako.View attachment 2291311
View attachment 2291313
Halahala usije jikwaa!!
Njema mpnzPazuri kweli
Poa dear
Habari ya ijumaaa
Naam dear 🤣🤣🤣Kipenzi![]()
Safiii sana. hapo nachunguliaga kwa mbali...Kikuletwa Hot springs (maji moto), Moshi . kama picha zinavyoonesha mandhari nzuri kabisa na ya kuvutia ambayo itakufanya urefresh na kutuliza akili yako.View attachment 2291311
View attachment 2291313
Very modified nowadays..Hivi kumbe sketi za malinda bado zipo eeh![]()
Huku ndo bei gani kiingilio?Sio chemka spring/ Kikuletwa, kwenyewe panaitwa Materuni waterfall View attachment 2291337View attachment 2291338
Nakuja twendeeeSafiii sana. hapo nachunguliaga kwa mbali...
Ooh upo sahihiPazuri sn..Ila mimi sipendi kuogelea maji yanayopita chini ya miti,ninakuwa na hofu ya nyoka wanaofata ubaridi
Twende jirani....Nakuja twendeee
Ooh sawaSio chemka spring/ Kikuletwa, kwenyewe panaitwa Materuni waterfall View attachment 2291337View attachment 2291338
Ooh nice dearNjema mpnz