Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mawardat

Twende town tukazurureee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afu tunaenda kupumzika majengo mnadani kuleee.
Coca jumapili kwenye kipindi cha BIG SUNDAY LIVE cha wasafi TV hivi Yule ambaye alikuwa anakatika Sana mbele ya gigy money binti Fulani hivi mweupe tall hivi ni km wewe[emoji3][emoji3]..Niliuliza nikaambiwa hawa ni watoto wa UD
 
Nasikia kuna nyingine inaitwa jilegeze kama umefiwa na Bibi Yako [emoji23]aunt Watu wasiri mno hawasemi tukiachwa wanatusimanga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shangazi utafia kifuani kwa ankoli, usijisumbue kabisaaa, relaaaaax.
 
Shoga angu nikwambie tu ukweli maana ukweli humuweka mtu huru[emoji23]

Kwakweli upole wewe? mmh hapana una chembechembe flani hivi za ukorofi[emoji28]

Unakuaga mpole labda zile siku ambazo umefulia huna hela.
Huyo cuzzo namuunga mikono yote miwili[emoji23]
Lenie nakusalimia

Kuna ujumbe wangu wowote uliupata kutoka kwa Depal ?
 
Coca jumapili kwenye kipindi cha BIG SUNDAY LIVE cha wasafi TV hivi Yule ambaye alikuwa anakatika Sana mbele ya gigy money binti Fulani hivi mweupe tall hivi ni km wewe[emoji3][emoji3]..Niliuliza nikaambiwa hawa ni watoto wa UD
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaaa, sio mie.
Nimecheka mnooo, ko nawee huwa unatazama Big Sunday live?
 
Back
Top Bottom