cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,132
Nimesuka sema kichwani nimevaa wavu wa kulalia!!Mrembooooooh.
Nimependa hair cuttin.
Mie napenda matosani niyapike km makaba, yuu nou??Nipo hapa kusubiri matosa ninywe chai![]()







Shangaz naona vitu vigeni nimebaki nimeduwaa😂😂😂shangazi umechachuka.
Mweee mbna km n hair cuttin, ila uko vizuri mremboooo.Nimesuka sema kichwani nimevaa wavu wa kulalia!!
Shangaz naona vitu vigeni nimebaki nimeduwaa![]()





shangazi bhanaaa, nimecheka mnooo. Nasikia kuna nyingine inaitwa jilegeze kama umefiwa na Bibi Yako 😂aunt Watu wasiri mno hawasemi tukiachwa wanatusimanga 🤣🤣🤣shangazi bhanaaa, nimecheka mnooo.
Kuna style za kila aina. Ni wee ushindwe kutumia hapo sasa.
Coca jumapili kwenye kipindi cha BIG SUNDAY LIVE cha wasafi TV hivi Yule ambaye alikuwa anakatika Sana mbele ya gigy money binti Fulani hivi mweupe tall hivi ni km wewe

..Niliuliza nikaambiwa hawa ni watoto wa UDMy little Angel!!♥️
Haya ndy majani ya viazi?Ooh niwekee chips yai ya kushiba, na zao la viazi hujui lafananiaje Lenie View attachment 2289775
Bamia inaongeza utelezi ukeni Kwa wale wenye uje mkavu au wwnaokaribia menopause..Ni nzuri Sana ikilowekwa kwenye maji kisha ukawa unakunywa km supuOoh napenda bamia… bamia ni nzuri kwa mwanamke,, na hujui mbamia ukoje.. Lenie View attachment 2289778


Amina dada!!
Nasikia kuna nyingine inaitwa jilegeze kama umefiwa na Bibi Yakoaunt Watu wasiri mno hawasemi tukiachwa wanatusimanga
![]()






shangazi utafia kifuani kwa ankoli, usijisumbue kabisaaa, relaaaaax.Lenie nakusalimiaShoga angu nikwambie tu ukweli maana ukweli humuweka mtu huru
Kwakweli upole wewe? mmh hapana una chembechembe flani hivi za ukorofi![]()
Unakuaga mpole labda zile siku ambazo umefulia huna hela.
Huyo cuzzo namuunga mikono yote miwili![]()
Coca jumapili kwenye kipindi cha BIG SUNDAY LIVE cha wasafi TV hivi Yule ambaye alikuwa anakatika Sana mbele ya gigy money binti Fulani hivi mweupe tall hivi ni km wewe..Niliuliza nikaambiwa hawa ni watoto wa UD





hapanaaa, sio mie. Ankol wako anajua mm nahurubi mazish ya wadudu tu mapambio hayajawah kuisha 🤣🤣🤣shangazi utafia kifuani kwa ankoli, usijisumbue kabisaaa, relaaaaax.
Shikamoo babu!
Unafanya kazi na earpods masikioni? Wallahi nakufukuza ofsini kwangu8 minutes ago na walikuwa hawajaiwekaView attachment 2289793
