Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,479
- 203,143
Endelea 🤣🤣🤣🤣Sawa tushajua unatumia aifon dyadya
Endelea 🤣🤣🤣🤣Sawa tushajua unatumia aifon dyadya
KabisaaaaNikae kwa kutulia![]()
13 pro maxMacho ma 3😁😁
Thank you kwa kweli 😋Hongera
Ilikua yako hii
Una shangaa nini Mjukuu 🤪😂😂😂😂😂😂 dah
🤣🤣 aiseeeeUmeiba wap hyo picha, maana najua ushuani kwenu hamna hizo mambo za mimea
Kwanini Mjukuu, tumeitoa mbali sana hii Nchi ujue 🙈🏃🏃🏃Ndo maana mie nilishakataaga kukuita babu.
😂😂😂Endelea 🤣🤣🤣🤣
Nyau sana 🤣🤣🤣
Miaka 26 ? Nadhani Mjukuu wangu wa mwisho ana huo umri ujue 🙈Aende zake huko,
Inaonyesha kabisa hata hakajafika 26yrs![]()
Kama watu tumepigana vita za Kagera miaka ile ya '78 kwanini tusiitwe GrandfatherKwahiyo
Ngoja nifikirie naweza muita nani![]()
JamaniKabisaaaa
Andaa na mkongo kabisaa nikija nakuelekeza namna ya kutumia![]()

Aisee 🚶🚶🚶Hakuna babu hapo![]()
Nina sababu zangu kama nyingi hivi za kutokukuita babuKwanini Mjukuu, tumeitoa mbali sana hii Nchi ujue![]()

Was kiume?Miaka 26 ? Nadhani Mjukuu wangu wa mwisho ana huo umri ujue![]()
Usiwe Mkorofi Mjukuu, Babu yako nimeona mengi ujue 🤪🤪Nina sababu zangu kama nyingi hivi za kutokukuita babu![]()
Jirani wewe ni maalum ya kwako, bahati sana hiyo....Nikae kwa kutulia![]()
Bado haujanishawishi kabisaKama watu tumepigana vita za Kagera miaka ile ya '78 kwanini tusiitwe Grandfather
Umri umenitupa mkono Babu yenu![]()


Ndiyo Mjukuu 🤪Was kiume?
Aisee 🙊Bado haujanishawishi kabisa
Ngoja nifikirie nikuite nani ikiwezekana![]()