Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,858
Nilikuwepo napiga picha mjongeohapanaaa, sio mie.
Nimecheka mnooo, ko nawee huwa unatazama Big Sunday live?

Nilikuwepo napiga picha mjongeohapanaaa, sio mie.
Nimecheka mnooo, ko nawee huwa unatazama Big Sunday live?

Naona mmeamka na nyeg asubuhi asubuhi!!😎😎😎Bamia inaongeza utelezi ukeni Kwa wale wenye uje mkavu au wwnaokaribia menopause..Ni nzuri Sana ikilowekwa kwenye maji kisha ukawa unakunywa km supu
Au nasema uongo D?![]()
Mrembo mbona umefuta picha???Nimesuka sema kichwani nimevaa wavu wa kulalia!!
Mimi au Depal ? Yeye ndy kapost na Mimi nilichofanya ni kuongezea nyama TuNaona mmeamka na nyeg asubuhi asubuhi!!![]()


Imekaa sana mkuu!!Mrembo mbona umefuta picha???
Kwani Mimi hunijui mrembo?Imekaa sana mkuu!!
Naomba nikuone nawewe mkuu!
YapHaya ndy majani ya viazi?
Namaanisha Naomba uselfike kaka!! Ndio sijawahi kukuobahatisha humuKwani Mimi hunijui mrembo?
Kisa? Muhimu I meet deadlinesUnafanya kazi na earpods masikioni? Wallahi nakufukuza ofsini kwangu![]()
KapiHaka ka mlio ka guduuu ata ukiweka silent simu hakanyamazi..
Kataharbu kazi
Haka kana ko pop upKapi
Weeee 🤣🤣🤣🤣Shoga angu nikwambie tu ukweli maana ukweli humuweka mtu huru😂
Kwakweli upole wewe? mmh hapana una chembechembe flani hivi za ukorofi😅
Unakuaga mpole labda zile siku ambazo umefulia huna hela.
Huyo cuzzo namuunga mikono yote miwili😂
Nasubiria hapaHuyo dogo anae balaa,, nitaku VN ujumbe wake
We bisha ila ndio nakuchana ukweli😂Weeee 🤣🤣🤣🤣
Nakataaa