Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Wajionaje na haliYaani wewe![]()
Siku nyingine tena
Tumshukuru Muumba kwa kutufikisha
Wajionaje na haliYaani wewe![]()
Niko poaWajionaje na hali
Siku nyingine tena
Tumshukuru Muumba kwa kutufikisha
Yule ni Teresa MayHata zikifunguliwa msoto uko pale pale
Boss wangu Depal alisema yeye si lazima ajibu hata mlango ukiwa wazi
Mkorofi wa kisirisiriila wee dada, khaaah.

Jambo jemaNiko poa
TuoneNipo dogo leo mpaka asibuhiii
Ile selfika ilinipitaTuone
Mkorofi wa kisirisiri![]()





dada umeona wanachi wa Sri Lanka? Wamevamia Magogoni yao, mambo wanayo fanya hapo kwenye jumba jeupe, mbavu cna, yaan full kuchekaaaa.Nimechaka yaani, raia wanaogerea kabisadada umeona wanachi wa Sri Lanka? Wamevamia Magogoni yao, mambo wanayo fanya hapo kwenye jumba jeupe, mbavu cna, yaan full kuchekaaaa.



IPI?Ile selfika ilinipita
Fanya kuirejea tena
Nimekaa hapa nasubiri
Bure ghali sheikh
Napenda kusotea ila ndio hivyo
Domo zege lanitatiza

wanaofuatana huko pm utawajua??Najulia wapiwanaofuatana huko pm utawajua??
Ni kweliNajulia wapi
Selfika bhas
Washalala kitambo
Si nimesema hawajalala@mawadart

Wengine hadi bafuni kabisaa anaoga,Nimechaka yaani, raia wanaogerea kabisa
Ingekuwa Tz nahisi wale wa mabakamabaka wangefanya yao![]()







Tz sie ni waogaMnooo.![]()
,,,