Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nitakua narusha vocha ya buku kila siku hapa baada ya siku 10 nitakua nimemaliza hilo deni😅😅
Vochazenyew Leo nimeona tangu unatype ikaja tigo naiweka imetumika🤣🤣 dakika haijafika
Hii nchi ya selfika nitahama aisee😂
 
Usinikumbushe
Nilimtembelea rafikyng ofisin kwao akanipeleka restaurant kunywa chai Bomba silielew
Nikashndwa kufungus Bomba nikasema usinitanie nikamuita mhudumu hebu njoo nifungulie ninawe nikale

Sema sikumsimulia angenicheka falayule
kuna ofisi 1 ya umma pale posta, na rafiki angu, kwenye lift, hadi aibu, jinsi nilivyo dhalilika. Nlipiga kelele lift ilizima umeme ulikatika ghafla, sasa kuna km ki hali fulan cha harufu ya kuungua nikawq nasikia, nkajua shott wee acha nipige ukunga wa nguvu,

Yaan sitasahau kuna yule dada acha anichambee,
 
kuna ofisi 1 ya umma pale posta, na rafiki angu, kwenye lift, hadi aibu, jinsi nilivyo dhalilika. Nlipiga kelele lift ilizima umeme ulikatika ghafla, sasa kuna km ki hali fulan cha harufu ya kuungua nikawq nasikia, nkajua shott wee acha nipige ukunga wa nguvu,

Yaan sitasahau kuna yule dada acha anichambee,
🤣🤣🤣🤣nimecheka
 
nimecheka
Yule dada alijua kunisuuza, yaan alinichambaa, akauliza unasoma mie ndyo wapi nkataja, mwaka wa ngapi ndo ilikua 1St yr, kaniuliza unatokea mkoa gan nkataja, woiiiiiiii nlifungulia kapu la kichambo.

Na alinioshaaaaa,
 
noumaaah.
Kuna mmoja alijivesha suruali raia wakawa wanamsifia,,nikamuita nikamuuliza nani kakuambia ukivaa hivyo unapendeza??

Nikamwambia mie nakuambia ukweli mdogo wangu,achana na masruali hayakupendezi na hayo matako kama dereva wa masafa marefu,

Dogo alinielewa,tokea siku hiyo kakitaka kutoka kananifuata kuniuliza,hapa vipi dada?
 
Yule dada alijua kunisuuza, yaan alinichambaa, akauliza unasoma mie ndyo wapi nkataja, mwaka wa ngapi ndo ilikua 1St yr, kaniuliza unatokea mkoa gan nkataja, woiiiiiiii nlifungulia kapu la kichambo.

Na alinioshaaaaa,
Kama nakuona ulivyokuwa umepoa 🤣🤣
 
Kuna mmoja alijivesha suruali raia wakawa wanamsifia,,nikamuita nikamuuliza nani kakuambia ukivaa hivyo unapendeza??

Nikamwambia mie nakuambia ukweli mdogo wangu,achana na masruali hayakupendezi na hayo matako kama dereva wa masafa marefu,

Dogo alinielewa,tokea siku hiyo kakitaka kutoka kananifuata kuniuliza,hapa vipi dada?
Hahah
 
Yule dada alijua kunisuuza, yaan alinichambaa, akauliza unasoma mie ndyo wapi nkataja, mwaka wa ngapi ndo ilikua 1St yr, kaniuliza unatokea mkoa gan nkataja, woiiiiiiii nlifungulia kapu la kichambo.

Na alinioshaaaaa,
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Ningekuwa ningeangusha kilio na kwenye kichambo 😂😂😂😂😂
 
Kuna mmoja alijivesha suruali raia wakawa wanamsifia,,nikamuita nikamuuliza nani kakuambia ukivaa hivyo unapendeza??

Nikamwambia mie nakuambia ukweli mdogo wangu,achana na masruali hayakupendezi na hayo matako kama dereva wa masafa marefu,

Dogo alinielewa,tokea siku hiyo kakitaka kutoka kananifuata kuniuliza,hapa vipi dada?
dada hapa ulicheza km pele.
 
Back
Top Bottom