Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Never knew kwamba wewe unaeniona mara moja kwa mwez ungenijua ivi kulko nnaoishi nao nyumba moja
Hapana nilichogundua huwa unaweka km mapozi. Ndo maana leo nimekuambia, sababu uko tofauti na siku zote.

Kuna picha ulipost siku 1 hivi, nkaona utofauti kidg, nkakuuliza mdomo wako ndo ulivyo? Ukanijibu kwan vipi, nkasema bas ntakuambia siku ingne, sasa picha zilizofuata ulizokua unapost zikawa zipo venye ulikua unaweka, hadi nkahisi ndo ulivyo ila sikua naamini sana.

Leo ndo umepost mdomo umekaa vizuri, na uko sawa sawa, ndo maana nkagundua kumbe vile ni mapozi. Sio ulivyo.

Nimekuambia hivi kuna kaka yeye alizaliwa vizuri tyuuh, lakini baada ya ujana, akawa anaweka pozi za mdomo km wa mondi, tena alikua anaona fashion na ujanja, mwisho wake amezoea na mdomo umelegea mazima, hivi alivyo ni tofauti na mwanzo.

Samahani lakini km nimekukwazaa, nisamehe bureeee.
 
Aunt mm nikikutoa out naenda na hesabu kmili kunywa elf 10 ukizidisha bill juu Yako😂😂😂😂
Aunt mbona siku ile ulinitoa out ukatumia elf 20 kumbe ulivunja miiko yako😜😜
 
Hapana nilichogundua huwa unaweka km mapozi. Ndo maana leo nimekuambia, sababu uko tofauti na siku zote.

Kuna picha ulipost siku 1 hivi, nkaona utofauti kidg, nkakuuliza mdomo wako ndo ulivyo? Ukanijibu kwan vipi, nkasema bas ntakuambia siku ingne, sasa picha zilizofuata ulizokua unapost zikawa zipo venye ulikua unaweka, hadi nkahisi ndo ulivyo ila sikua naamini sana.

Leo ndo umepost mdomo umekaa vizuri, na uko sawa sawa, ndo maana nkagundua kumbe vile ni mapozi. Sio ulivyo.

Nimekuambia hivi kuna kaka yeye alizaliwa vizuri tyuuh, lakini baada ya ujana, akawa anaweka pozi za mdomo km wa mondi, tena alikua anaona fashion na ujanja, mwisho wake amezoea na mdomo umelegea mazima, hivi alivyo ni tofauti na mwanzo.

Samahani lakini km nimekukwazaa, nisamehe bureeee.
Unapaswa ujue mtizamo wako hauwezi kua sahihi siku zote..
Nna marafiki active 200+ na wananijua 12 years ago naishi na watu nyumba moja wana nnao kibao hawajawah nambia izo vitu unaniletea...
Haunijui nipo tofauti sana na unavonifikiria maoni yako ningeweza kuyafikiria miaka 7 nyuma kipindi nawafatilia hao kina mond ila sio sasa npo mbali na hio lifestyle unayonidhania
 
Unapaswa ujue mtizamo wako hauwezi kua sahihi siku zote..
Nna marafiki active 200+ na wananijua 12 years ago naishi na watu nyumba moja wana nnao kibao hawajawah nambia izo vitu unaniletea...
Haunijui nipo tofauti sana na unavonifikiria maoni yako ningeweza kuyafikiria miaka 7 nyuma kipindi nawafatilia hao kina mond ila sio sasa npo mbali na hio lifestyle unayonidhania
Ulale sasa.
 
Back
Top Bottom