Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aunt mm nikikutoa out naenda na hesabu kmili kunywa elf 10 ukizidisha bill juu Yako
hivi niambie utanipeleka wapi? Siku ya kwanza napanda ghorofa tena O level, nusu nianguke kwa kizungu zungu?
Ushamba mzigo, sehemu za watu wengi sitakiiii.
 
Nkamu na baba yetu
Anastahili pongezi huyo Mnyaki wallah
Aling'oa chombo haswaaa
Furahieni maisha
Maisha ni matamu sana nkamu

Asante sana Nkamu
uwe na usiku mwema wewe na familia
 
Unapaswa ujue mtizamo wako hauwezi kua sahihi siku zote..
Nna marafiki active 200+ na wananijua 12 years ago naishi na watu nyumba moja wana nnao kibao hawajawah nambia izo vitu unaniletea...
Haunijui nipo tofauti sana na unavonifikiria maoni yako ningeweza kuyafikiria miaka 7 nyuma kipindi nawafatilia hao kina mond ila sio sasa npo mbali na hio lifestyle unayonidhania
Basi nisamehe bureeee,
Yameisha hayaaa.
 
hivi niambie utanipeleka wapi? Siku ya kwanza napanda ghorofa tena O level, nusu nianguke kwa kizungu zungu?
Ushamba mzigo, sehemu za watu wengi sitakiiii.
😂😂Usinikumbushe
Nilimtembelea rafikyng ofisin kwao akanipeleka restaurant kunywa chai Bomba silielew
Nikashndwa kufungus Bomba nikasema usinitanie nikamuita mhudumu hebu njoo nifungulie 🤣🤣🤣ninawe nikale

Sema sikumsimulia angenicheka falayule
 
Back
Top Bottom