cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,176
Aunt mm nikikutoa out naenda na hesabu kmili kunywa elf 10 ukizidisha bill juu Yako![]()





hivi niambie utanipeleka wapi? Siku ya kwanza napanda ghorofa tena O level, nusu nianguke kwa kizungu zungu? Ushamba mzigo, sehemu za watu wengi sitakiiii.




