spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,527
Ni kama ananijua 😅😅😅Yaan wewe na coca mnanifraishaga sana![]()
Ni kama ananijua 😅😅😅Yaan wewe na coca mnanifraishaga sana![]()
Nkamu ndo umemficha hivyo mpiga picha🤣🤣View attachment 2286676
Nkamu maji tu
NyieInastaajabisha hanijui ila ni kama ananijua
Dereva ndiye analijua vizur gari lake

Abeeeeeh, anisamehe tyuuh. Nimesema ukweli.Dogo
Umbea tu aunt 😂Nkamu ndo umemficha hivyo mpiga picha🤣🤣
Enjoy weekend yako nkamu maisha ni haya haya
Shikamoo dogoKubwa![]()
Picha zako anazionaga.Ni kama ananijua![]()
Umbea suna aunt🤣🤣🤣🤣Umbea tu aunt 😂
NakupendagaAbeeeeeh, anisamehe tyuuh. Nimesema ukweli.

Kuna mzigo nilifata hapo 😂mm sio wa level hizo aunt elayng ya mawazo mno😂Shangaziiiiii ulikua wapi hapa? Mbna ni km eneo expensive hivi.
Ulitisha sanaaaa,![]()
Shikamoo kubwa au nipige na goti?Shikamoo dogo
Uko ni kufahamiana na sio kujuana na hata ivo utamfaham mtu kwa picha 7? na upate muda wa kutizama kwa umakini ivo?Picha zako anazionaga.
Tumshukuru tu mpigapicha😂😂Umbea suna aunt🤣🤣🤣🤣
Oooh sema nyie ni watani.Uko ni kufahamiana na sio kujuana na hata ivo utamfaham mtu kwa picha 7? na upate muda wa kutizama kwa umakini ivo?
Nkamu ndo umemficha hivyo mpiga picha
Enjoy weekend yako nkamu maisha ni haya haya



Hapana usipige usipige🙌🙌🙌Shikamoo kubwa au nipige na goti?
Usitake kukwepa kumtoa out Babu yako Mjukuu 🤪Mm nilikuwa nauliza sijatoa jibu😂
Nkamu enjoyNkamu naipenda ndoa yangu
Thank you Nkamu