Nasikia kuna miguu imetupiwa,dah!imenipita hivi hivi!Nione huo utoto



Kwa hiyo mkuu 2012 ulikuwa form 3 ????????
To good to sound true
Naomba majibu
Ukiweka yako nitagendiwo
Sawa sawaHapana kidume cha mbegu
XHahaha nani huyo
Huyu mkubwa jamani huo mwaka alikuwa chuo
Wewe umeushindwa shem ?Shem bwana uzi wenu huu mnauweza wenyewe
Thanks in advanceNdio ndio shem kwa ajili yako
BasiKuhusu nini??
Ukiweka yako nitag
Huu ndo mda mzuriZimeisha zangu mbona