Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,010
- 60,472
Kale ka mwili 🙃🙃Hujamfikia Kwa lipi madam?
Kale ka mwili 🙃🙃Hujamfikia Kwa lipi madam?
Kitambooooo sanaaaa, nasubiri banda lije kwenye tokeo.Karibu selfika
Umemaliza pepa yangu?![]()






Usitoneshe kidonda bas, fundi alichonifanyia daaah.Halafu leo tarehe 9 mamaa shughuli naona imefika.. tunasubiri kutetema leoo![]()
Mungu ni mwema niko vyedi sana jirani!!Natumaini unaendelea vizuri jirani
Hongera mlongo mpiga mabandaKitambooooo sanaaaa, nasubiri banda lije kwenye tokeo.
![]()
Acha utani ujue fundi ameleta balaa gani wagi walai niko standby hapa waiting kutetema mie uwiii!Usitoneshe kidonda bas, fundi alichonifanyia daaah.
Ndyooo tutaenda Ulayaaa. Tukirudi nakua main contractor wa project fulan.Hongera mlongo mpiga mabanda
Tngeneza GPA kali tukasome ulaya Masters








Ndiooooooo!! Jembe kama jembe Nakuaminia!!Ndyooo tutaenda Ulayaaa. Tukirudi nakua main contractor wa project fulan.![]()

Tangu jmos namuambia kuwa leo asubuhi naenda kuchukua nguo, tukakubaliana fresh, kheeh leo asubuh ananipigia cm eti yuko mtwara msibani, nkamuambia km ipo tayar bas hata mwanafunz wake atanipa, kheeeeh eti hajamaliza kushona, nkaona ni utan, kwenda pale nakuta pamefungwa, nimechoka hapa hoiiii.Acha utani ujue fundi ameleta balaa gani wagi walai niko standby hapa waiting kutetema mie uwiii!
Ndiooooooo!! Jembe kama jembe Nakuaminia!!![]()



shogaa angu mbna km umepoaaa? Tatizo nn?Doh siku zote uzompa jamani almost 2 months na ameleta mambo ya kiwaki ivoo!!!🤔!! Shenz zake kabisa!Tangu jmos namuambia kuwa leo asubuhi naenda kuchukua nguo, tukakubaliana fresh, kheeh leo asubuh ananipigia cm eti yuko mtwara msibani, nkamuambia km ipo tayar bas hata mwanafunz wake atanipa, kheeeeh eti hajamaliza kushona, nkaona ni utan, kwenda pale nakuta pamefungwa, nimechoka hapa hoiiii.
Maisha yamenila kiboga shogangu 😉😉!! Nipo nipo tu !😌😌!shogaa angu mbna km umepoaaa? Tatizo nn?
Yaan nipo hapa nimechokaaa, hadi akili imevurugika kabisaa, na kwenye harusi kwenyewe hakuendeki tenaa.Doh siku zote uzompa jamani almost 2 months na ameleta mambo ya kiwaki ivoo!!!!! Shenz zake kabisa!
Khaaaah wee thubutuuuu, sio kwako hapana nakataaa.Maisha yamenila kiboga shogangu!! Nipo nipo tu !
!





Weee jamani ulivoisubiria hio nguo kwa hamu sasa shogangu mbona mambo tafrani!!!!Yaan nipo hapa nimechokaaa, hadi akili imevurugika kabisaa, na kwenye harusi kwenyewe hakuendeki tenaa.