Noumaaaah huyo.
Haya nipo sasa, nilikua nafanya usafi wa mwili.Naikuletea shogangu usiwaze kabisa!!![]()
Hapo sawa
Ya kwangu huitaki Joan SWoyooo nitakuja uniazime hiyo suruali mamaa![]()



Hata pm zangu huzioni au siyoKengine tunaotumia app ni majanga, notification hazionekani. Kama Mimi nna mwezi ss sipati notification. Hata mtu akinimention sioni.


🙂🙂🙂🙂.. Nitakuwa hayo maeneo fumba na kufumbua
Jioni kila mtu na kimiminikaUZURI WA JUMAPILI KILA MTU NI MTAKATIFU ASUBUHI NGOJA IFIKE JIONI SASA!!
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app

Nikusubirie mpaka saa ngapi.....?🙂🙂🙂🙂.. Nitakuwa hayo maeneo fumba na kufumbua
Jioni kila mtu na kimiminika![]()





ndyo maana mm nimeacha pombe kbsa kidogo nizae na mtoto wa mamkubwa Hahahahhaah pombe sio chai.ndyo maana mm nimeacha pombe kbsa kidogo nizae na mtoto wa mamkubwa
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app