Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kuna jamaa kaporwaa demu huku anaona, yaan demu anainuka na kupanda Alphard huku tumeduwaa, jamaa kaishia kupata aibu, chozi kwa mbaaalii linatoka, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimecheka leo had baas.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vitoto vya udsm ni kichomi bora mtu uende TIA huko ,, kuna dogo mwaka wa kwanza kavamia mtt mkali wa udbs mwaka wa pili akiwa na nauli ya kurudia kwao hyo tr 15,, mniite mbwa[emoji23]
 
Wababa na wababu, acheni kupora mademu vijana wenu wa chuo khaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Na mnatumia gari ili kuwateka lol.
Wanaporwa kwani wanatekwa?

Mtu above 18 na akili zake kamili anatenda analoamini kuwa ni jema na lina faida kwake...

Tatizo hapo ni njaa za hao mademu wa chuo....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vitoto vya udsm ni kichomi bora mtu uende TIA huko ,, kuna dogo mwaka wa kwanza kavamia mtt mkali wa udbs mwaka wa pili akiwa na nauli ya kurudia kwao hyo tr 15,, mniite mbwa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]si mumshtue au mnamuacha kwanza ajifunze[emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Vitoto vya udsm ni kichomi bora mtu uende TIA huko ,, kuna dogo mwaka wa kwanza kavamia mtt mkali wa udbs mwaka wa pili akiwa na nauli ya kurudia kwao hyo tr 15,, mniite mbwa[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mate usinichekeshe, sometimes life la chuo lina fanya mtu u enjoy, nimekumbuka kuna dada m1 wa class letu alimchuna kaka wa LLB ilifika hatua anaomba tena kwa demu hela ya kufanyia mambo yake, yaan amkope uwiiiih.
 
Back
Top Bottom