Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nyie mnabandika Referee ambao hawana uhusiano wowote na nyie. Unataka ajaze nini sasa ? Referee hakikisha ni mtu anae kujua na ni mtu unae mjua, na anajua maisha yako binafsi na ya kazi kwako maana huyo wakati mwingine ndio kama mzamini, sasa kuna mzamini yupo anaeweza kumzamini mtu asie mjua ?
Kuna wale academic referees,, ni hatari miaka yote chuo hujawah cross path nae,, in any issue ni hatari,, unampelekea akuandikie referral letter anakuandikia nn sasa
 
Hili ni tatizo. Kuna shida kwenye foundation yetu nchi kama nchi. Hasa kwenye sector ya elimu. Idara ya elimu inaendeshwa zaidi kimazoea kuliko kujua dunia inahitaji nini. Ingawa pia kwa sehemu pia wahusika tumekuwa exposed na mitandao ambayo tunaweza kuitumia kwa manufaa yetu katika kujiimarisha na kwenda na wakati wa dunia ila bado tume stuck, na kilichopo tunakitumia vibaya wachcahe wanao tumia wanapata manufaa kwa sehemu. Ningekuwa na ndoto ya kutoka nje ya tanzania hii comments na ya kwanza imebeba vitu muhimu ningeanza fatilia point to point..

Kina Tinsley cocastic njooni msome hapa itawasaidia
Asante sana
Hakika mmenena vyema .. nimejifunza jambo hapo
 
Back
Top Bottom