Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Huyu jirani yako ana chuki binafsi😂 😂 😂 Iko poa jirani...
Huyu jirani yako ana chuki binafsi😂 😂 😂 Iko poa jirani...
Eeh umesemajeee🤣🤣😄😄😄😄 traamu
Kabisaaa...Huyu jirani yako ana chuki binafsi
Ukitakamani ujue tayari 😄😄😄Eeh umesemajeee🤣🤣
Imekaa ki spider sana jirani😂 😂 😂 Iko poa jirani...
😄😄😄😄😄😄 mama anawapenda sanaMie nimetoka kula gali ndondo la mama Samia hapa naenda kusinzia tu kwenye civics!!
Tayari niniiiiiUkitakamani ujue tayari 😄😄😄
🤰Tayari niniiiii
Nina hyo moja tu jirani
Kheeeeh watu wapo humu kukwapua picha zangu, afu wanaenda kuringishia wengine huko, JF ina mambo uwiiiiih.Nipo shogangu nimefulia hatarii!! Mambo hata hayaendi kabisaaaa yani full tafrani!
Haya ebu nibariki walau nitabasamu ivoivo!






, naogopaaaaaaah.Afu dada angu wa damu huyo, ngoja nikutibulie mazimaa, sitaki shem muomba vocha.unaniharibia cv ww binti ujue namtongoza Rumaiya hapa akiona naomba vocha nitapigwa kibuti cha Kho Kho Kho
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Mbona hiyo tayari siku mingiii
Nataka muelekeo huu
ndimu kama kawaaa 😄😄😄Mbona hiyo tayari siku mingiii
Tena stock yangu imeisha, niletee basi nyingine😁ndimu kama kawaaa 😄😄😄
Hiyo utaipata snapchat😂Nataka muelekeo huuView attachment 2277409
Hizo za mchongo sizitakiHiyo utaipata snapchat😂