Selfika na JF: Snap it. Show it

Sawa,
Lakini kweli devs wengi ni wafuata mkumbo, hii jf ni php, wikipedia ni php, facebook ni php, wordpress n.k.
Site nyingi sana ni PHP.. issue kubwa ni namna gani una secure kazi yako. Ujue kwanini inaoneka easy to hack ? watu wengi sana wamesoma PHP, tools nyingi sana za hacking zili lenga PHP maana ndio site nyingi, kwaiyo inakuwa kama rahisi vile kwasababu resources zipo za kutosha, ila mtu akiisuka PHP ipasavyo hutoboi.. kirahisi rahisi
 
Nimekusoma vyema mkuu.
Kumbe shida imeandamwa na society ya hackers, na wana support kubwa na tools.
hivyo kutengeneza mfumo from scatch inahitaji uwe makini, na hapo ndipo mnaingia wazee wa penetration..
 
Mkuu dunia hii unahitaji uwe ja tools kibao kwenye begi maisha. Ukitegemea mahala pamoja ngumu sana kutoboa..

Hacker ambae ni legal sio illegal .. huwa nacheka sana hapa, mganga ndio mchawi na mchawi ndio mganga πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
Ndio wale ethical hackers.
Hata wale ni hao hao tu 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…