Hahaa pole mkuu baridi hatari sana sema iko kote !!Nipo mkuu, baridi tu
Ninayo hapa.Ongeza na juice ya Rozelle,damu itapanda Kwa haraka zaidi.Mimi ninayo ndani natumia mara Kwa mara
Majani yake yanapatikana Kwa urahisi Sana km upo Dar na fungu la buku unapata juice nyingi sn.Mara kadhaa nayatumia kutengenezea wine![]()
Picha la kutosha🥺
Matumizi ya vyoo vya jumuiya yanachangia..😂😂😂😂 mbona yutiai?
Mwanamke asiumwe,, ni yutiai
Safiii
Nakuja hapoKongoro time 🙂🙂View attachment 2276606
weka nyingine
Jirani...Wa Kaskazini 😂
Karibu JiraniSafiii
Jirani mbona tuko sawa...Kheee
Wanaume wa Dar mna vioja
Asante sana jiraniKaribu Jirani
Ichemshe ili virutubisho vyote vibaki kwenye maji,kisha ipua iache ipoeNinayo hapa.
Hivi ni ipi njia nzuri ya kutengeneza juice?
Kuloweka au kuyachemsha?
Kweli eeJirani mbona tuko sawa...
Abee jiraniJirani...
Nikajua naona maruweruwe pekeyangu 🤣Sema wewe!! tamsana picha inatisha asee
Sana tu...sio wote wa Dar ni wa chips jirani..Kweli ee
Dogo wewe ni daktari wa kuku?Mix na orange juice
Inakuwa pambeeeView attachment 2276642
Sio maruweruwe mgonjwa ni picha ilivo!!Nikajua naona maruweruwe pekeyangu 🤣