🙌🙌🙌🙌Utakula makonzi ya utosi sasa hivi blaza.haya usiendelee kuzoom zaidi 🤣🤣
🙌🙌🙌🙌Utakula makonzi ya utosi sasa hivi blaza.haya usiendelee kuzoom zaidi 🤣🤣
Washendweeeeee
I love 💕 you too rafiki 😘😍😘Rafiki wa kudumu i love you so much😍😘🥰
Yeaaaaah mapigo yangu haya.Hapana mguu wa K-Vant
View attachment 2274091
Naam naam🤓🤓🤓Yeaaaaah mapigo yangu haya.
Kipusa hoyeeeeee,
JF kuna kakaz 3 hizo ni noumaaaaah.Ila wakaka wa JF wanakaa poa sana![]()
Mnooo, yaan mie mbna kwa vile niko hii nchi, napenda kuwa uchi kabisaa. Ningekua ulayaa mbna mtaan natembea na kichupi tyuuh.Naam naam
Unapenda kuvaa pensi ee…niiicee






Umenishida Kwa tabia nakugawa bure kabisa 😃JF kuna kakaz 3 hizo ni noumaaaaah.
Afu kuna babaz 2, ni za kwendaaa.
Weraaaaaa weraaaaaah.
Asantemacho mazuri. Hongera Boss
🤣🤣🤣🤣nakumwaga we mtuMnooo, yaan mie mbna kwa vile niko hii nchi, napenda kuwa uchi kabisaa. Ningekua ulayaa mbna mtaan natembea na kichupi tyuuh.
![]()
Waendelee kumtazamia Bwana wa Majeshi .Washendweeeeee
Nipo auntAunt mwenyewe huyoo
Kumbe mrembo hivii
Leo nina bahati kweli
Ahsante aunt
Mama junia
Sidhani km waoaji hatupo my dear,Ila 50/50 inawacost sanaWaoaji hawaonekani hakyamama tena ni mwendo wa kuwindana.cha msingi tuendelee kujenga nchi![]()
Ahsanteee, nyama kias gan?Doon Tinsley
Mchele…. Ulikuwa 4 cups ‘ vile vikombe vinakaa kwa rice or multi cooker… maji 5 cups…
Spices:
-carrot
-hoho ‘ila mie nilikuwa na red/ sweet peppers
-tunguu maji, saumu
- pilau masala ‘2 teaspoons
-viazi mviringo vi3.. medium size
-nyama kiasi utakacho..
Proces ni zile zile…
1. Kitunguu maji kaanga
2. Weka na ukaange kitunguu saumu
3. Viazi na nyama
4. Pilau masala
5. Mchele
6. Maji ‘ depends na idadi yako ya vikombe vya mchele..
Nb. Chumvi utajua uweke muda upi, kwenye maji/ viungo..







Upo dearGood morning maa![]()
Tena usidai chenji, watakurudishia Mtu wako soon.Umenishida Kwa tabia nakugawa bure kabisa![]()




