Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Na wewe wameanza kukuuliza????????Mimi nawaambia mitano Tenaparty after parteeee
Aluta continua..
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe wameanza kukuuliza????????Mimi nawaambia mitano Tenaparty after parteeee
Aluta continua..
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kiatu kiendane na nguo, nakuaminia..
Kwakweli…maana kuna majibu ninayaona mahali naishia kushika kichwa tu maana🤣🤣kipenziiiiii, nivumilie akili angu ina jisett enyewe automatically, ko ikiamua kuwa off bas ndo purukushan hivyo.
Yaan nna heka heka, kupendezaa ndo nataka.Kamshono + rangi yako = Perfect
Na umejaladia vzuri![]()








Kwakweli…maana kuna majibu ninayaona mahali naishia kushika kichwa tu maana![]()





yaan we acha tyuuh.Safari ya wapi hii kipenziii? Afu umekaa mbele kabisa why?
Picha yako ndo ilishindikana mkuu
😂😂😂😂Yaan nna heka heka, kupendezaa ndo nataka.
Naanza mdogo mdogo, msije shangaa baadae designer na model mpya mjini.
Ntataka niwe international zaidi.![]()



Weka full uone hizo sifa zitakavyodondoka hapaMmmmmh, aaaah wapiii?
Nimeamua kuwa konda 😁😁Safari ya wapi hii kipenziii? Afu umekaa mbele kabisa why?
Afunue gauni kwa juu kidogo tuone, hazijaonekanaWeee hizo heels sijaziona bana, em rudia
Niliiweka mbona jana na mpka sasa hivi bado ipoPicha yako ndo ilishindikana mkuu
Hata kama lina mabonde ila mradi likipigwa kofi litoe sauti🤗🤗🤗Huoni mabonde mabonde? Na unapo lipapasa huwa hustuki? Bas miwani ya macho iwe usoni kwako. Lol
![]()
Ile ya mguu wa bia?Niliiweka mbona jana na mpka sasa hivi bado ipo
cocastic do the needfulAfunue gauni kwa juu kidogo tuone, hazijaonekana
Kitambi? Kheeeeh navo maintain ka body haka.
Na hekaheka unaziweza balaa
Hapo jitahidi tu umaintain hiyo body usipate kitambi![]()






