Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee bibi yuko wapi? Au ndo 50/50
Wazungu bhanaa, khaaaah
Bibi yuko Misungwi huko mjukuu; na anazingua hatari shwaini zake. Hapa nilipo kanibuloku kila mahali hata kosa langu siriazi silijui....

Ila hata akiwepo mi napikaga tu nikijisikia....

Na wazungu hawana 50/50. Ni maelewano tu na dynamics za ndani ya nyumba.
 
Hata nyuma nitakudabua tu...

Prophet alimaliza kazi aliyotumwa kuifanya. Apumzike salama na siku moja mtaonana na kuendeleza ibada mbinguni
Yaaa na alimaliza muda sana
Maombi ya watu ndo yalifanya tupewe bonus time kuwa nae,unless alikuwa awe ameondoka muda sn.

😂😂😂huwezi kuniona
Yaani wale wanyakyusa ma ex shemeji zangu wakiniona tu lzm wanizoom ndo maana najificha
 
Mama malezi.

MK ameanza kuokoka, wokovu umemfikia ameanza kutoa neno.
Ila yule asipopata mtu wa counselling anaweza kujiua.
kachanganyikiwa na kupagawa hadi huruma.
 
Bibi yuko Misungwi huko mjukuu; na anazingua hatari shwaini zake. Hapa nilipo kanibuloku kila mahali hata kosa langu siriazi silijui....

Ila hata akiwepo mi napikaga tu nikijisikia....

Na wazungu hawana 50/50. Ni maelewano tu na dynamics za ndani ya nyumba.
Kwanza ngoja bibi ni wa kwetu au wa huko? Sorry lakini.
 
Kwanza ngoja bibi ni wa kwetu au wa huko? Sorry lakini.
Wa kwetu ndiyo...

Wa huku walishanishinda mjukuu.

Huwa napiga tu na kusepa. Ujichanganye kwa Black American we. Mbona hakuna rangi ambayo utaacha ona

Kuna kisa cha kula kimasikhara nakimalizia nitakutag kule kwenye uzi wao

Naona hii wine inataka kunizidia
 
Back
Top Bottom