Huwa nina interact nae mala kadhaa, tunaishia salam hi tabasamu mwanana najipiga kifua tuu nasema watu wanalala pazuri, nilikosa confidence na sina confidence ya kusogea.. nilisha ingia kingi kwa design hizo miaka kadhaa niliomba poo.. mtu anakunywa hela sio kutumia π€£π€£π€£π€£..
Nikimtaja na ikatokea dogo anapita hata kama guest, dogo anaweza unga dot akanitambua πππ acha nikause ila jamaa sio.mwepesi hata kidogo nilie mkuta nae kwenye ile chuma.. maana chuma yenyewe hiii babaa noma