Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
D 🤣🤣🤣Kwa sababu zipi? Na unajua me chips silagi.. na nimefunga 🤣
D 🤣🤣🤣Kwa sababu zipi? Na unajua me chips silagi.. na nimefunga 🤣
🤠🤠🤠🤠🤠Emu malizia basi yale ya nje 😁
Sio kwa mkato huo mlongo. Noumaaaah.
Nimecheka 🤣🤣🤣Sio kwa mkato huo mlongo. Noumaaaah.
Umekata ndogo ndogo mno, mama hawezi anakuambia mbna ikiiva haikai kwa tonge la ugali, hata mie siwezi wee ndogo ndogo sana bhana.nimelipua
![]()
Nimecheka
Nimekumbuka mama mmoja mmasai alinambiaga Dar ndio mnakata mboga vibaya hivyo
Hapo nimekata bila cutting board…


wee huyu kazidi kakata ndogo ndogo mnoo. Kuna siku home tumekaa bhana mapishi akapewa dogo, cabbage alikata hadi brooh anaulizaa ya kulisha nguruwe? 






Asante mana Robertson na saint Anna ndio zangu daily sasa mwaka huu nimeanza na Hennessy lakini pia nataka kuhamia na jamson na Jack Daniels kwaio nilikua napata ABCHavijapishana sana… kama windock na heinkein
Wow nimepatia vyema kabisa kuwa na kaka raha sana aiseeEwaaaah ni yeye bhanaa, brooh angu huyooo.
Aisee...Havijapishana sana… kama windock na heinkein
Maweeee 🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️Aisee...
😄😄 niko busy na mfungo, nyie mnanidorishia ‘french fries 😅😅😅D 🤣🤣🤣
Yeaaah ni broooh angu huyo, sema ni mpoleee mno ktk familia yetu yeye ndo kapoa. Yaan hana mambo mengi.Wow nimepatia vyema kabisa kuwa na kaka raha sana aisee
Tuombee na sisi😂😂😄😄 niko busy na mfungo, nyie mnanidorishia ‘french fries 😅😅😅
Mshindweeee
😋😋😋😋 Unafungua saa ngapi ?Emu malizia basi yale ya nje 😁
Kila mtu abebe msalaba wake 😂😂Tuombee na sisi😂😂
Week ijayo 😂😂😋😋😋😋 Unafungua saa ngapi ?View attachment 2271654
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kila mtu abebe msalaba wake 😂😂
Yan umefanya mpaka nimekumbuka holy rosary month.. tuwaombee wakosefu na wasio na waombezi 😁
We jeuri eeh 🤣🤣🤣Week ijayo 😂😂
Ndio nimekumbuka venye tunakuwaga tunaombeana…🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jaman holy rosary month si ni bado sana