Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimecheka

Nimekumbuka mama mmoja mmasai alinambiaga Dar ndio mnakata mboga vibaya hivyo
Hapo nimekata bila cutting board…
wee huyu kazidi kakata ndogo ndogo mnoo. Kuna siku home tumekaa bhana mapishi akapewa dogo, cabbage alikata hadi brooh anaulizaa ya kulisha nguruwe?

Yaan yanajiacha tyuuh, anakata tyuuh vuu vuu vuuu.
 
Emu malizia basi yale ya nje 😁
😋😋😋😋 Unafungua saa ngapi ?
IMG_20220625_152657.jpg
 
Back
Top Bottom