Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Karanga unaweka
Huku kwetu umezidi bana unaharibu ngozi hadi nguo wallah,Aisee
Huu udongo mwekundu jamani chaa.
Hata sisi kule kuna wilaya na wilaya., sehemu zingine ni mwekundu ila siyo kama huo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Chinesespidernyoka njoo uoshe/ukateView attachment 2271578
Huyo wa katikati
Coca njoo kule Dakika moja
Mbona sioni karanga kwenye hicho?Karanga unaweka
Kwann unahisi huyo? Toa reasons dea.Huyo wa katikati
Kweli uko umezidiHuku kwetu umezidi bana unaharibu ngozi hadi nguo wallah,

Si hadi aunge nawee ndo ataweka, au wee unajuaje?
Mimi najua zinawekwa pamoja wakati wa kupikaSi hadi aunge nawee ndo ataweka, au wee unajuaje?

Mmmh hapana, wakati wa, kukitengeneza kikande unaweka chumvi tyuuh., hadi kiive ndo hapo sasa unaunga.
😂😂😂 uwii mbona kama changu, em nijikague🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 afu kweli