Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,516
- 235,229
Huwa hamuweki karanga?cocastic Cha kuonja kipo[emoji2957]View attachment 2271533
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Huwa hamuweki karanga?cocastic Cha kuonja kipo[emoji2957]View attachment 2271533
Karanga unaweka
Huku kwetu umezidi bana unaharibu ngozi hadi nguo wallah,Aisee [emoji119]
Huu udongo mwekundu jamani chaa[emoji23][emoji119].
Hata sisi kule kuna wilaya na wilaya., sehemu zingine ni mwekundu ila siyo kama huo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Chinesespidernyoka njoo uoshe/ukateView attachment 2271578
Huyo wa katikati
Coca njoo kule Dakika moja
Mbona sioni karanga kwenye hicho?Karanga unaweka
Kwann unahisi huyo? Toa reasons dea.Huyo wa katikati
Kweli uko umezidi [emoji119]Huku kwetu umezidi bana unaharibu ngozi hadi nguo wallah,
Si hadi aunge nawee ndo ataweka, au wee unajuaje?
Mimi najua zinawekwa pamoja wakati wa kupika[emoji848]Si hadi aunge nawee ndo ataweka, au wee unajuaje?
Mmmh hapana, wakati wa, kukitengeneza kikande unaweka chumvi tyuuh., hadi kiive ndo hapo sasa unaunga.Mimi najua zinawekwa pamoja wakati wa kupika[emoji848]
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
😂😂😂 uwii mbona kama changu, em nijikague🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 afu kweli