Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Hizo mubaba zenyuhuyo x na mubaba wake wote walikuwa wazembe
![]()
Zinaeka mkono kwa mbususu
Zinalala utadhani itaibwa
Alikuwa akiileta
Naitendea haki ile ile
Nahakikisha
Wotaland yaani
Hizo mubaba zenyuhuyo x na mubaba wake wote walikuwa wazembe
![]()
Ni sawa, lakini unaweza hata ukafanana na mtu attitude flani, its not about nani mzuri, kuna mikato flani mnaendana na mtu flaniHuyu
Haingii hata nusu
Kwa ubaridini city gweroz
Inategemea na tango la shi ngapi, km la jero afu kifungashio cha buku, huoni litapelea?Watu hajui kutumia tango kwenye kachumbari, wengine hawajui kutumia bamia kwenye dagaa
Wape somooo






Yani, basi tu, kila niandikacho nafuta,
Coca😁🙊🙊🙊🚶🤗Inategemea na tango la shi ngapi, km la jero afu kifungashio cha buku, huoni litapelea?
Bamia enyewe imekomaa? Ukute imepinda kwa kukoswa na upepo, afu dagaa enyewe mwanza wamejaa mchanga, shombo tupu mbna tafrani.
Inatakiwa iwe diko diko la kwendaa, unajilamba ham ham na unang'ata na ulimiiii. Weuweeeeeeeh.
Andika vyote 🥰Yani, basi tu, kila niandikacho nafuta,
Life is always fairLife is not fair.....
Aisee....Safiii. hamna mwanya jirani..
😂😂😂Hizo mubaba zenyu
Zinaeka mkono kwa mbususu
Zinalala utadhani itaibwa
Alikuwa akiileta
Naitendea haki ile ile
Nahakikisha
Wotaland yaani
Unachozumgumzia ni sawa na kufikiria simba hawezi kukutafuna kwa sababu hukuwahi kumla au humli. 🙂Life is always fair
Jirani basi nipeleke kwa dentist nikasogeze meno mwanya utokeeAisee....Safiii. hamna mwanya jirani..
Bakia hivyohivyo jirani..Jirani basi nipeleke kwa dentist nikasogeze meno mwanya utokee
😄😄😄 hamna bana, weka kando matamanio… maisha yako fair tuUnachozumgumzia ni sawa na kufikiria simba hawezi kukutafuna kwa sababu hukuwahi kumla au humli. 🙂
Ya watu wa kaskazini yakoje? 🤔🤔Muagize tena..
Nimekuwa na meno kama watu wa kaskazini 🥺..
Jirani nataka ka mwanya jamaniBakia hivyohivyo jirani..