Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Dunia ipo kasi
image
 
Watu hajui kutumia tango kwenye kachumbari, wengine hawajui kutumia bamia kwenye dagaa

Wape somooo
Inategemea na tango la shi ngapi, km la jero afu kifungashio cha buku, huoni litapelea?

Bamia enyewe imekomaa? Ukute imepinda kwa kukoswa na upepo, afu dagaa enyewe mwanza wamejaa mchanga, shombo tupu mbna tafrani.

Inatakiwa iwe diko diko la kwendaa, unajilamba ham ham na unang'ata na ulimiiii. Weuweeeeeeeh.
 
Inategemea na tango la shi ngapi, km la jero afu kifungashio cha buku, huoni litapelea?

Bamia enyewe imekomaa? Ukute imepinda kwa kukoswa na upepo, afu dagaa enyewe mwanza wamejaa mchanga, shombo tupu mbna tafrani.

Inatakiwa iwe diko diko la kwendaa, unajilamba ham ham na unang'ata na ulimiiii. Weuweeeeeeeh.
Coca😁🙊🙊🙊🚶🤗
 
Isaya 18
Bwana akamwambia Yeremia nenda nyumbani Kwa mfinyanzi...
Utamuona mfinyanzi anavyofinyanga chombo...
Kilichoharibika anakifinyanga tena anakifinyanga tena jinsi apendavyo yeye.....
Ndinvyo ulivyo Bwana ww ni mfinyanzi...
🎵🎶
 
Back
Top Bottom