myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Mwanya wa kununua sio jiraniJirani nataka ka mwanya jamani
Mwanya wa kununua sio jiraniJirani nataka ka mwanya jamani
🤣🤣 our very own identity’ gold teethMuagize tena..
Nimekuwa na meno kama watu wa kaskazini 🥺..
😁😁 basi sawa jiraniMwanya wa kununua sio jirani
Huyajui mkuu?Ya watu wa kaskazini yakoje? 🤔🤔
Wii Jana umetuchomesha mahindi,tumesubiri picha hadi tukachoka.Isaya 18
Bwana akamwambia Yeremia nenda nyumbani Kwa mfinyanzi...
Utamuona mfinyanzi anavyofinyanga chombo...
Kilichoharibika anakifinyanga tena anakifinyanga tena jinsi apendavyo yeye.....
Ndinvyo ulivyo Bwana ww ni mfinyanzi...
🎵🎶
When did you realize life is fair? mi siamini, anyway kila mtu anaamini chake 🙂😄😄😄 hamna bana, weka kando matamanio… maisha yako fair tu
Bamia ndio mnasema 🤔🤔🤔.. Ukishikwa Julieth 😄😄Watu hajui kutumia tango kwenye kachumbari, wengine hawajui kutumia bamia kwenye dagaa 😂😂😂😂
Wape somooo
🥺🤣🤣 our very own identity’ gold teeth
Wana noga wa hivi
Sijaruhusiwa wiiiiWii Jana umetuchomesha mahindi,tumesubiri picha hadi tukachoka.
😄😄😄😄 Kuna hujuma humuLife is not fair.....
Khaa😂Sijaruhusiwa wiiii
Mi ni mwanamke mtii🙊🙊🙈nasubiri ruhusa🤗
😂😂😂😂😂😂
Ukiwa msafi
Sasa ujue kuwa wababa ndio mafundi bomba wazuri
Vijana mnatakaga
Kurudi
Mlikotokea…
Woiii
Linafaa kuwekwa ndani na litulie eeh 😎😎Wewe
Ni li zuri
Sawasawa mkuuLinafaa kuwekwa ndani na litulie eeh 😎😎
Ahaha! Mie nimechangia tu jirani wala sizogezi pua kwa Julieth 😄😄😄Sawasawa mkuu
Si wote tunavuta hii free hewa? Sasa hayana vipi usawa?When did you realize life is fair? mi siamini, anyway kila mtu anaamini chake 🙂
SanaLinafaa kuwekwa ndani na litulie eeh![]()