Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

JPEG_20220621_161111_9065688501339106578.jpg
 
Mfundishe sasa

Na Heaven Sent

Nimefurahi umekandamiza

Hatari

Umefuraaahi!

Kama amechanganya kabila basi kujua lugha ni ngumu sana.

Mimi najua Kwa sababu wazazi wote ni kabila moja,,halafu kila siku nikawa nawasikia wanaongea,tangia mdogo.
.Rarely walikuwa wanatumia Kiswahili.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 

Shetani asiingilie tu kati tena.


Sina mpango wa kubishana na mtu kwa lengo la kugombana..nikiona ananipeleka huko basi namuignore tu.

Ni moja kati ya hatua kuingia utu uzima..
I'm born again.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Niiiiiceeeee…..

Kweli umeanza kukua mtoto mzuri 🤣

Ile mizizi ya bangi isije ikachepua ikaanza ubishi.I pray
 
Back
Top Bottom