Salama kabisa, baridi tu mitaa yetu.Njema kabisa jirani, mmeamkaje huko
Huko ndio kwenyewe full kujifunika.Salama kabisa, baridi tu mitaa yetu.
Asante sana jirani...Huko ndio kwenyewe full kujifunika.
Karibu chai jirani tupunguze baridi
Khaaaa tajiri hawa wanawake wazur tutaishia kuwaita shemeji tu
Amen NkamuHappy Birthday mdogo wangu, mama mchungaji, Mungu akupe umri mrefu sana nkamu team June![]()



Nimeshtuka sana 🤣🤣😂 😂 😂 Huenda kakuona mahali jirani..
AmenHappy birthday Sis mungu akujalie afya njema na uzima![]()


AmenHappy birthday cha ubishi wetu![]()

Asante.Happy birthday to you best but happy birthday bila kwichikwichi ni Sawa na mei mosi tu
Watu wa june wana makelele sanaaaAmen Nkamu
Kumbe na wewe ni June??Ndiyo maana
Watu wa June Kuna namna tuna roho ya huruma
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nimeiba picha huko Mjini IG.Kifua sasa jaman nichanganyikiwe kbsa
Wacha bhana

Asante.
Khaa!Mkuu unataka tuzaliwe upya na uzinzi?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app




Sema nn ww ni mzur huna mambo mengi tuma full basi nione ugonjwa wangu
Wewe huyuAmen Nkamu
Kumbe na wewe ni June??Ndiyo maana
Watu wa June Kuna namna tuna roho ya huruma
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

Mornin 2 mwanamke dela sasa na limekaa mahala pakeGood morning selfikaView attachment 2267285
Thanks 🥰Mornin 2 mwanamke dela sasa na limekaa mahala pake
Eti tuna huruma😅😅😅😅Amen Nkamu
Kumbe na wewe ni June??Ndiyo maana
Watu wa June Kuna namna tuna roho ya huruma
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app