Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,832
Sawasawa.SYB
Nhale musafali
Lo sabato mhindi obizha nashokagha
Nagūgūkoba.
Siminzaga mhola [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Sawasawa.SYB
Nhale musafali
Lo sabato mhindi obizha nashokagha
Mother tongue is a lg which a person has grown up speaking from early childhood….Kizungu sikijui
Sasa kwanini
Nisikandamize[emoji848][emoji1787]
Halafu
mother tongue pub
Ni mpya na ipo kwa wapi hapo mjini[emoji848]
😁😁😁I kent livu withaut yuu
Unaempenda kabisa[emoji1787][emoji1787] ooh dearly spida
I kent livu wizaut yu tu…am daying fo yua ravu wahalaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
😅😅😅 emu selfikaUnaempenda kabisa
Kutoka moyoni
Akiona hiyo coment yako
Itabidi uchaue mawio
Nimempakia trafik[emoji28][emoji28][emoji28] emu selfika
😅😅😅 lomoni mingi… emu weka pichaNimempakia trafik
Nataka nijiegeshe hapa pia
Vi elfu mbili vyetu
Viwe vinanirudia
Wige kwani hata mimi si nahitaji upendo mkuu?Mkongwe hata wewe[emoji848]
Ooh lava of mai laif🤣🤣 ooh dearly spida
I kent livu wizaut yu tu…am daying fo yua ravu wahalaaaa 🤣🤣😅😅
Nitapigwa burn[emoji28][emoji28][emoji28] lomoni mingi… emu weka picha
Muda wakula....nakuja jiraniMkumbuke kula…View attachment 2267530
EbitokeMkumbuke kula…View attachment 2267530
Nashangaa hapa nyumbani wanahangaika na habari za keki wakati mimi mwenyewe habari Sina[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amen,Saint Anne happy birthday kipenzi[emoji3531]. Ikawe siku yako yenye heri na kumbu kumbu nzuri hapa duniani... Ukawe Nuru, na Neema Kwa watu wote.. Muumba azidi kukuimarisha zaidi katika afya, akili, hekima na maarifa... Iwe siku njema kwako[emoji8].
Happy birthday Mukamu wangu Kabisa Umulungu akuweke sana sana [emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Amen[emoji847][emoji120]Saint Anne kheri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa ndugu
Ni siku ambayo kwako nahisi itakuwa ya shamlashamla kwa kidogo ulichojaaliwa kulingana na riziki zake Jalaali Insh'Allah
Japo usiwasahau wale waliokufanya ujipongeze kwa siku ya leo , namaanisha baba na mama yako kama wapo wakumbuke leo kwa chochote ila kama hawapo , wakumbuke katika swala na kheri huko waliko.[emoji120][emoji120]
HAPPY BIRTHDAY DAY [emoji512][emoji512]
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Amen Bossledi [emoji847]mstaarabu usiye na vurugu.Happy birthday babygirl!! Mungu akupe maisha marefu yenye furaha