myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Jioni njema wadau...
Mimi hicho nagonga kama chote, mnyaki og.Kumbe na wewe
Ni wale wale
Punguza uzungu
Jibu kwa lugha yenu ya atufigwegwe
HofyoooooooYaani huyo HS
Ni lile toleo la mwanzo
Gari za njano
Baada ya toleo la
Kupeleka Kenya na Uganda kuisha
Ndio kina junia wenyewe
Shetani asiingilie tu kati tena.
Sina mpango wa kubishana na mtu kwa lengo la kugombana..nikiona ananipeleka huko basi namuignore tu.
Ni moja kati ya hatua kuingia utu uzima..
I'm born again.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Umenena ukweli mtupuTeam June tuko na huruma mbovu sana..ni watata tuko na 2faces.huwezi kumtabiri Gemini
Una gubu na Gemini wewe ....Dogieee 😁
Kweli huruma mbovu,huruma iliyopita kiasi.Team June tuko na huruma mbovu sana..ni watata tuko na 2faces.huwezi kumtabiri Gemini
Kufanya birthdaySijabisha
Hujawahi kufanya




Nimeona tu vifungu vya Biblia.Hivi kwa nini nilianza kuwish kabla wewe hujawish.....?
Ahsante nkamu
Happy Birthday Saint Anne
Hivi utakua umeelewa alichoandika mama malezi kweli??

Naona unamwagika kizungu
Huku unang'ata vidole
Dadek



Kwa Msaada wa Bwana pamoja na Kamanda.Intelligence + Class.
.Uzi upi huo jamani?Kwa Msaada wa Bwana pamoja na Kamanda.
Amefutiwa Uzi jamani nyie,,Mod Mbingu wataisikia.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
😁😁Aisee..
Umeniiga 😁😁
Shetani asiingilie tu kati tena.
Sina mpango wa kubishana na mtu kwa lengo la kugombana..nikiona ananipeleka huko basi namuignore tu.
Ni moja kati ya hatua kuingia utu uzima..
I'm born again.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Ukawe mzima na kuimarika.Not feeling well today!!!
Enjoy your night wapendwa!!
Ongeza na msimamo thabiti. Akisema enough ni enough kweli.. na kujali familia zao Kwa Sanaa.