Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sheeeeendwaaaaaaahh [emoji118][emoji118][emoji118][emoji118][emoji118][emoji118][emoji118] Nakwambia uliza habare za Tonniah utaambiwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] utabaki unalia na moyo wako hadi mtondogoo ouhooooooooo!! Tonniah ni motro wakuotea mbareeeee!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeshanduka vibaya wee.
 
Naomba zawadi ulizobeba,
Au ndio kwenye ndege hakuna kusomba vitu kama sisi wa Tukuyu tunavyosombelea maparachichi kwenye Rungwe express[emoji16]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hakuna usafiri unakeraga kama wa anga, kuna vitu utabeba lkn unaweza kuishia kuvitupa kwenye bin ya airport.
Labda pesa tu😅
 
Hakuna usafiri unakeraga kama wa anga, kuna vitu utabeba lkn unaweza kuishia kuvitupa kwenye bin ya airport.
Labda pesa tu[emoji28]
Naomba ulichofanikiwa kupita nacho basi.

Angani tunawaachia nyie,sisi akina Tumoghele kwa kweli kusafiri na maparachichi ni inevitable.


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
cocastic kwaleo inatosha!!

Tomorrow is another day
Love you guys!!! Rumaiya Glenn jirani myoyambendi Kelsea @QueenEby etc [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577]
Asante madam nimeinyaka[emoji3059]
Beautiful
 
Back
Top Bottom