Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Naomba zawadi ulizobeba,
Au ndio kwenye ndege hakuna kusomba vitu kama sisi wa Tukuyu tunavyosombelea maparachichi kwenye Rungwe express

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hakuna usafiri unakeraga kama wa anga, kuna vitu utabeba lkn unaweza kuishia kuvitupa kwenye bin ya airport.
Labda pesa tu😅
 
Hakuna usafiri unakeraga kama wa anga, kuna vitu utabeba lkn unaweza kuishia kuvitupa kwenye bin ya airport.
Labda pesa tu
Naomba ulichofanikiwa kupita nacho basi.

Angani tunawaachia nyie,sisi akina Tumoghele kwa kweli kusafiri na maparachichi ni inevitable.


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom