Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
SheeeeendwaaaaaaahhNakwambia uliza habare za Tonniah utaambiwa
utabaki unalia na moyo wako hadi mtondogoo ouhooooooooo!! Tonniah ni motro wakuotea mbareeeee!!
![]()









umeshanduka vibaya wee.
Hakuna usafiri unakeraga kama wa anga, kuna vitu utabeba lkn unaweza kuishia kuvitupa kwenye bin ya airport.Naomba zawadi ulizobeba,
Au ndio kwenye ndege hakuna kusomba vitu kama sisi wa Tukuyu tunavyosombelea maparachichi kwenye Rungwe express
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃😘😘😘😘❤️❤️❤️❤️umeshanduka vibaya wee.
Naomba ulichofanikiwa kupita nacho basi.Hakuna usafiri unakeraga kama wa anga, kuna vitu utabeba lkn unaweza kuishia kuvitupa kwenye bin ya airport.
Labda pesa tu![]()
Matawini which? Matawini where? 😆😆😆😂😂😂
Kuna namna zamani ulikua unanipa burudani, saivi umehamia matawini huko mambo yamechange😂😂
Haya me bado nipo nipo huku
Sikuwepo.Picha iliwekwa mchana jirani
Huko huko😂😂Matawini which? Matawini where? 😆😆😆
KabisaWanawake maua nyie postini ..trako, lips, kucha nk.
Lkn dume akifanya haya tutahoji uhalali wa kufanya hivyo![]()
🙋🙋🙋🛌🛌🛌Lala totoo
Kuna
Sante kipenzi 😘!Asante madam nimeinyaka
Beautiful
Madame unavaa za kuchanika kumbe,Sante kipenzi!
