Nimekumbuka Mombo 😍
Na mimi wa kijani hawa wekundu labda wapo Mwezini🤣Kwani ni vipi peke angu ndio nina mduara wa kijani 😩 Lenie
Nimekumbuka Mombo![]()

Dokta wa mwendokasi😉😉😉😜😜😜Na mimi wa kijani hawa wekundu labda wapo Mwezini🤣
Punguza kitambi tafadhari, kwan mkeo hakuambii?





Kila mtu duara lake lekundu mimi kijani sasa manake niaje?Dokta wa mwendokasi😉😉😉😜😜😜
Unamsema mtu yupo kwenye mwewe... maboss haoPunguza kitambi tafadhari, kwan mkeo hakuambii?
![]()
Hapa sio Cate hotels - Moro, pananifurahisha majengo yao muundo, mtindo na madhari kwa nje km hostels za Magufuli UDSM.












Hapa ni Cates Hotel kingolwira, niliingia jana usiku dsm leo naingia dodoma..
Full ma usingizi depal miguu ya bia![]()
Hata angekua kwenye Kunguru, apznguze kitambi, kwan sia ya kuwa boss ni kitambi?Unamsema mtu yupo kwenye mwewe... maboss hao









😂 😂 😂 sawa jiraniPunguza kitambi tafadhari, kwan mkeo hakuambii?
![]()
Sasa unadhan bila kitambi passport utakaa upewe?😁😁😁Hata angekua kwenye Kunguru, apznguze kitambi, kwan sia ya kuwa boss ni kitambi?![]()
Hapahapa TZ tu jirani,..Jirani hiyo safari ya wapi?![]()
Hahahaaa!!Sasa unadhan bila kitambi passport utakaa upewe?😁😁😁
Au unadhan me siwez kuruka na mwewe mkemiaa shida si ni kitambi sinaHahahaaa!!
Kwann usipeweeee?Sasa unadhan bila kitambi passport utakaa upewe?![]()






Nipashe magazine 😂😂😂Nipashe who? Which? Where🤣🤣🤣
Santee baby ake😊