cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,237
Hahahaaa.... cuzoo ni noumaaaa!!Hanaga mbambambaa kam shos akee hapo!





hatareeeeh.Since we’re washua pro max 😍Muwe na j3 njema wana selfikaView attachment 2266246
Nakuona shos nakuonaaa fulll gushepuuuuuuuu😘😘😘♥️♥️
Nakuona shos nakuonaaa fulll gushepuuuuuuuu
Umetokelezea hatareeee![]()




hadi
kufanya surgery ntachelewa, Wachina wamerahisisha, Kkoo unajipatia Surgery ya muda mfupi kwa bei cheee.



afu naskia booster zimekuja mpyaa, naona Giggy anaya promote, tatizo bei wee eti 1 n 65k. Mie hebu mniwekee, nione nna mduara gan?Nimedandia gari kwa mbele
Kila mmoja Akiwa katika Id yake anaona mduara wa kijani ila member wengine unawaona wama maduara ya kijani!![]()
65 bado ni kind cheaper…. 😅😅 ukiamuaafu naskia booster zimekuja mpyaa, naona Giggy anaya promote, tatizo bei wee eti 1 n 65k.
Ntafute hela nikanunue mie.
Mwekundu… au angalia avatar yako through ur comment utaona rangiMie hebu mniwekee, nione nna mduara gan?
Ooh kumbe!! Ahsante kwa ufafanuzi..Nimedandia gari kwa mbele 😉
Kila mmoja Akiwa katika Id yake anaona mduara wa kijani ila member wengine unawaona wana maduara ya mekundu!👇
Hahahahaaaa!!! sasa ukiwa na baby unajiwahi kuvua mwenyewe au😂😂😂😂😉😉😜?? Hahahaafu naskia booster zimekuja mpyaa, naona Giggy anaya promote, tatizo bei wee eti 1 n 65k.
Ntafute hela nikanunue mie.
Hahahah! Mjini mipango ausio!! Umenouga sana yani kashepu mwakee👌👌👌👌👌👌👌👌👌hadi
kufanya surgery ntachelewa, Wachina wamerahisisha, Kkoo unajipatia Surgery ya muda mfupi kwa bei cheee.
Matako ya mchongo,65 bado ni kind cheaper….ukiamua
Booster ndiyo nini tena ? Au hizo mataqo za mchongo? Taiti au




Hahahahaaaa!!! sasa ukiwa na baby unajiwahi kuvua mwenyewe au?? Hahaha




sasa bae wangu mwenyewe anayaona nikiyaweka kwa kabati hatashangaa, navaaga ili nje bae wangu ajisifie kwa wenzake kuwa ana sehemu ya kushika.Natumia APP hata sioni, mie Web siiwezi.Mwekundu… au angalia avatar yako through ur comment utaona rangi