Baby Doll
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 4,880
- 22,057
Utarudi hata kwa ndege Inshallah.Loo nimetoka huko tarehe 19 mwezi wa 9 2017. Sijui nitarudi lini..maana nina alergy na vyombo vya maji.
Utarudi hata kwa ndege Inshallah.Loo nimetoka huko tarehe 19 mwezi wa 9 2017. Sijui nitarudi lini..maana nina alergy na vyombo vya maji.
Umeona eeh?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanawake wenye umri mdogo ndiyo huwa wanaangalia sura mdogo wangu,, tafuta hao sie watu wazima tunaokaribia kuolewa umri hauruhusu tena kuangalia sura..
Subiri atakuja.Id yake ni nani nikamsalimie pm[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
[emoji8][emoji8]Leo nimejaribu [emoji6][emoji6]View attachment 1253910
Naona mnanucgukulia kama katoto fulani eh. Hpo nilikua tu niko 20 vindevu hakuna. Now days View attachment 1253901
Ninong'oneze mmoja[emoji2960]
KuleNakunong'oneza wapi eti??
Kama ni inborn instincts nature haiwezi nibadiri! Nishakubali kua ndivyo nilivyoumbwa. I don't fit to be bad/Naughty
Na tunaendelea kumsema[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Subiria mume anakuja.
Utaniimbia kwaya..
Qaswida tumuachie mwenyewe zed na wake zake[emoji1787]
[emoji12][emoji8][emoji8]
Mbona aliweka hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani [emoji23]..huyo mwibe tu mama.
Ila wale wengine tafwadhali [emoji2]
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Yaani hawa wanaume wa siku hizi sijui wanatutakia nini kuzaliwa wazuri kuliko sisi dada zao kuna mmoja juzi juzi hapa alituma picha yake mtoto wa kiume ana miguu mizuri kuliko hata mie mtoto wa kike jamani looh
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kina nani tena hao?? Hujui mbongo kitu anachokatazwa ndicho atakachotaka kujaribu??
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]nitaweka kengine na kukafuta.Kwani nadanganya?[emoji7][emoji7]
Hembu tupia Tena kale kapic mammy,tusuuze macho[emoji8]
[emoji13][emoji13][emoji13]Hata pm basi
Beautiful [emoji7][emoji7].[emoji12]
Kwakweli Mungu anasaidia sio mtoto mbaya..afu mnaniita mtoto wakati nina familia
Weka tu mamyy[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]nitaweka kengine na kukafuta.
Nitakuja[emoji13][emoji13][emoji13]japo dar wahuni wengi.Nawewe njoo Dar[emoji3] [emoji3] [emoji3]