Baby Doll
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 4,880
- 22,052
Utarudi hata kwa ndege Inshallah.Loo nimetoka huko tarehe 19 mwezi wa 9 2017. Sijui nitarudi lini..maana nina alergy na vyombo vya maji.
Utarudi hata kwa ndege Inshallah.Loo nimetoka huko tarehe 19 mwezi wa 9 2017. Sijui nitarudi lini..maana nina alergy na vyombo vya maji.
Umeona eeh?wanawake wenye umri mdogo ndiyo huwa wanaangalia sura mdogo wangu,, tafuta hao sie watu wazima tunaokaribia kuolewa umri hauruhusu tena kuangalia sura..
Subiri atakuja.Id yake ni nani nikamsalimie pm![]()

..











Naona mnanucgukulia kama katoto fulani eh. Hpo nilikua tu niko 20 vindevu hakuna. Now days View attachment 1253901
Ninong'oneze mmoja![]()
KuleNakunong'oneza wapi eti??
Kama ni inborn instincts nature haiwezi nibadiri! Nishakubali kua ndivyo nilivyoumbwa. I don't fit to be bad/Naughty

haswaa
Subiria mume anakuja.
Utaniimbia kwaya..
Qaswida tumuachie mwenyewe zed na wake zake![]()



kina nani tena hao?? Hujui mbongo kitu anachokatazwa ndicho atakachotaka kujaribu??
Mbona aliweka hapa
Jamani..huyo mwibe tu mama.
Ila wale wengine tafwadhali![]()
Yaani hawa wanaume wa siku hizi sijui wanatutakia nini kuzaliwa wazuri kuliko sisi dada zao kuna mmoja juzi juzi hapa alituma picha yake mtoto wa kiume ana miguu mizuri kuliko hata mie mtoto wa kike jamani looh










kina nani tena hao?? Hujui mbongo kitu anachokatazwa ndicho atakachotaka kujaribu??
Kwani nadanganya?
Hembu tupia Tena kale kapic mammy,tusuuze macho![]()





nitaweka kengine na kukafuta.


kuwa na familia siyo shida,, najua wewe ni mfuatiliaji wa baadhi ya american rappers kutokana na avatars zako,, lil wayne alipata mtoto wake wa kwanza akiwa ana miaka 16 kwahiyo ikawa mtoto kapata mtoto,, sasa yawezekana na wewe ni dingi mtoto..
Kwakweli Mungu anasaidia sio mtoto mbaya..afu mnaniita mtoto wakati nina familia
Weka tu mamyynitaweka kengine na kukafuta.
