Baby Doll
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 4,880
- 22,052
Una wangapiMbona aliweka hapa
Jamani..huyo mwibe tu mama.
Ila wale wengine tafwadhali![]()

nigawie mmoja.Una wangapiMbona aliweka hapa
Jamani..huyo mwibe tu mama.
Ila wale wengine tafwadhali![]()

nigawie mmoja.Kweli.Sio najiweka kilani. Nikiplay strong naambiwa siku hzi nimekua na tabia mbaya. Sio mpole tena. Nikiwa hvi nafikiriwa vbaya. So nitaishi vile navyoona ni sawa as long as najitambua
Sana.Kataonewa sana.

Atakufaa.Baby doll sijawahi muona asee


Ukija tena Zanzibar tutafutane tupige picha ya pamojaHapana kwakweli mm sina




Sana.
Ila wewe huyu anakufaa maana umemzidi uzuri![]()






kwa uzuri nimemzidi kweli ila mpole sana nitamwonea.Mkorofi wa chini chini?Sio rahisi. Ni mkorofi pia



hayo si maneno yangu ni ya mboto
Ndiyo.
Kama ilivyo shemeji na mume wa dada.
Sio maneno yangu,Ni yako![]()
Mbona hata wewe Ni mpole baby doll?kwa uzuri nimemzidi kweli ila mpole sana nitamwonea.
Id yake ni nani nikamsalimie pm




Kwani nadanganya?







wanawake wenye umri mdogo ndiyo huwa wanaangalia sura mdogo wangu,, tafuta hao sie watu wazima tunaokaribia kuolewa umri hauruhusu tena kuangalia sura..
Aisee. Sasa kwanini sina gal... au ndio mapenzi pesa sio sura
Wewe na mboto mtueleze vizurihayo si maneno yangu ni ya mboto

.