Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Never google ur symtomps
haya nimeachaNever google ur symtomps
haya nimeachaNa mpopoKiranga chote komooooo, wazungu hawana maana kabisaa, wala sio wa kuhangaikia michosho tupu. Woiiiiiiiiih.
Wapopo nao, ila mie daaah.
uko na maexperience. Haya nambie na wengine tuchukue tahadhariIla wazungu sijawah kuwatamani kabisa, kitu black bwana.Kiranga chote komooooo, wazungu hawana maana kabisaa, wala sio wa kuhangaikia michosho tupu. Woiiiiiiiiih.
Wapopo nao, ila mie daaah.
Namna nyingine ni ipi ?Bwana nilienda hiyo hospital nilikua napata discharge za ajabu ajabu dr akanambia inatakiwa achukue hayo maji maji wenyewe wanasema kuotesha sijui ajue shida ipo wapi lkn siku hiyo nilikua mkavu tu. Dr akaniambia basi inabidi atumie vidole aingize huko heee nikajiuliza kwa nini kidole wakati kawaida najua wanatumia vile vidude kama cotton buds nikasema wacha nimsikilize siwezi bishana na yeye ndio anajua analolifanya akanambia nilale kwene kile kitanda vinavyokuaga kwenye vyumba vyao.
Basi akawa anaingiza vidole nkaanza kuona hali inabadilika anakazana tu kuingiza vidole nikamuambia naumia kama hakuna namna basi nije siku nyingine ananiambia subiri. Nikasema leo yatanikuta makubwa lakin nashukuru hakunifanya lolote badae akaacha akaniambia kapata kiasi atatumia hayo hayo nivae nisepe. Nilijiskia vibaya + aibu kunichungulia muda wote huo wakati kulikua na namna nyingine tena rahisi tu.
Haikwepeki japo ushauri mzuri sanaNever google ur symtompshaya nimeacha
Nataka nimalizie Asians na black Americans, nifunge ukurasaaaNa mpopouko na maexperience. Haya nambie na wengine tuchukue tahadhari






















Hapa kwetu kuna madaktari wazuri mno sema ndio kwa bahati mbaya unaweza kumbana na wasio bora sana kwene hiyo fani ila wazuri wapo.Ah nimeipenda
Madaktari mna umuhimu kwetu sana
Wengine wana huduma nzuri mno wanayoitoa kwa jamii .. kuna paediatrician mmoja namkubali sana that man is humble .. Mungu ambariki kwa kweli .
Wanatoa kadude kama cotton bud unapewa unakipachika mwenyewe huko chini kupata yale maji maji na si kuweka vidoleNamna nyingine ni ipi ?
KhaaaNataka nimalizie Asians na black Americans, nifunge ukurasaaa
European
Arabs
Hindian
Popoans
Na wa kwetu hawa..
![]()
kwa mpopo ulivutiwa na nn wee nawe wale kwa utapeli naskia wanaongoza hapa dunianiHawana maajabu,Wana baridi utadhan barafu khaaah. Afu hawana ladha, shahawa zao sio nzito, yaan tafrani tupu.Ila wazungu sijawah kuwatamani kabisa, kitu black bwana.










Yeah wapo wazuri kweli , wanafanya kazi nzuri kweli .. shida ipo kwa public hospitalsHapa kwetu kuna madaktari wazuri mno sema ndio kwa bahati mbaya unaweza kumbana na wasio bora sana kwene hiyo fani ila wazuri wapo.
Mimi huwa nagoogle kiukweli ila kutumia dawa sijinunulii tu lazima nimuone dr. Anachosemea Spider nadhan anasemea wale watu akigoogle akaletewa majibu tofauti na atakayoambiwa na dr mushkeli unaanzia hapo kumbe tunasahau kuna muda google taarifa zinawekwa si zote ni sahihi. Ila mara nyingi inasaidia kutupa mwanga.Haikwepeki japo ushauri mzuri sana
Tunajifunza mno kupitia kugoogle mfano kuna situation unaweza pitia hujui cha kufanya , mfano
Postpartum depression kupitia Google unaweza pata ushauri jinsi ya kukibaliana na tatizo .
Khaaakwa mpopo ulivutiwa na nn wee nawe wale kwa utapeli naskia wanaongoza hapa duniani







alitaka aniparure hela yangu ya vicoba na Upatu, khaaaaah sijui ningeliaje mwenzenu. Hawana maajabu,Wana baridi utadhan barafu khaaah. Afu hawana ladha, shahawa zao sio nzito, yaan tafrani tupu.
![]()


alikua wa nchi gani??alitaka aniparure hela yangu ya vicoba na Upatu, khaaaaah sijui ningeliaje mwenzenu.
Woiiiiiiiiiiiiiiih, siwataki hata kuwasikia sahivi. Lol
pole, kiranga kimekuisha.Mimi huwa nagoogle kiukweli ila kutumia dawa sijinunulii tu lazima nimuone dr. Anachosemea Spider nadhan anasemea wale watu akigoogle akaletewa majibu tofauti na atakayoambiwa na dr mushkeli unaanzia hapo kumbe tunasahau kuna muda google taarifa zinawekwa si zote ni sahihi. Ila mara nyingi inasaidia kutupa mwanga.
Wapopo ni matapeli na majizi makubwaaaa, yaan imagine kaka wa 27yrs. Yaan kheeeeeh yule angenikomba yoteee,. Eti tuanzishe biashara, ipi? Duka la nguo au sallon ya kiume, khaaaah hela yako?pole, kiranga kimekuisha.








wapopo ni nyokooooooh.