Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Ukamaliza kazi
Hata penzi ni matibabu ujue namshukuru nesi fulan alikuja kunichoma sindano home
Hata penzi ni matibabu ujue namshukuru nesi fulan alikuja kunichoma sindano home
🥲🥲🥲🥲 Sijui nitabahatikaHizi username mpya sasa!!! Badae Nitaweka saivi nipo bize kidogo
Nn?Ndyo maana
Watu na miji yenu 😆😆mkuu hapa ni arusha? mana naliona kwa mbali ghorofa la esami kama sikosei
Nitakuita usiwaze!🥲🥲🥲🥲 Sijui nitabahatika
Ila hizi hospital zetu mtihani, mama yangu aliwah pewa dawa za TB wakati hana hiyo TB. Mimi pia nilipewa dawa za vidonda vya tumbo wakati sina, watakuja kutuua.Duh si poa
Nilishapimwa VDRL kiujinga hapo nilikuwa darasa la tatu .. nimekaa zangu mwenyewe hospital wananiambia subiria hapo majibu .. narudi baadae nyumbani namuonyesha mama ni negative .
Toka nizaliwe sijawahiUkamaliza kazi
Hujawah nn?Toka nizaliwe sijawahi
Shida sana mimi huwa nakereka aisee .. huduma ovyo ndo maana watu wanafanya self medication .Ila hizi hospital zetu mtihani, mama yangu aliwah pewa dawa za TB wakati hana hiyo TB. Mimi pia nilipewa dawa za vidonda vya tumbo wakati sina, watakuja kutuua.
Kuchoma mtu sindanoHujawah nn?
Poleni sanaIla hizi hospital zetu mtihani, mama yangu aliwah pewa dawa za TB wakati hana hiyo TB. Mimi pia nilipewa dawa za vidonda vya tumbo wakati sina, watakuja kutuua.
Kweli aselfikeMr. Bashtola emu selfika..
Bangi 😀😀Kweli aselfike
Unayo nipe nipige pafu mojaBangi![]()
Ahsante.Poleni sana
Sasa ungefanyaje ata wewe🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔😉😉😉
Yes, wenzetu wapo vizuri hawalipui lipui mambo kama huku kwetu.Shida sana mimi huwa nakereka aisee .. huduma ovyo ndo maana watu wanafanya self medication .
Mtu unamuelezea unaumwa vipi hakuamini ..
Vipimo visivyo hitajika ..
Negligence ipo kubwa sana kwa nchi yetu hii
Nilisoma case za huko nje aisee hawataki masihara .. mtu kanywa tu pombe kakuta ina mabaki ya kono kono tayari ameishtaki kampuni ya bia ..
Consultation fee unalipa ngap?Yes, wenzetu wapo vizuri hawalipui lipui mambo kama huku kwetu.