Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh si poa
Nilishapimwa VDRL kiujinga hapo nilikuwa darasa la tatu .. nimekaa zangu mwenyewe hospital wananiambia subiria hapo majibu .. narudi baadae nyumbani namuonyesha mama ni negative .
Ila hizi hospital zetu mtihani, mama yangu aliwah pewa dawa za TB wakati hana hiyo TB. Mimi pia nilipewa dawa za vidonda vya tumbo wakati sina, watakuja kutuua.
 
Ila hizi hospital zetu mtihani, mama yangu aliwah pewa dawa za TB wakati hana hiyo TB. Mimi pia nilipewa dawa za vidonda vya tumbo wakati sina, watakuja kutuua.
Shida sana mimi huwa nakereka aisee .. huduma ovyo ndo maana watu wanafanya self medication .
Mtu unamuelezea unaumwa vipi hakuamini ..
Vipimo visivyo hitajika ..

Negligence ipo kubwa sana kwa nchi yetu hii
Nilisoma case za huko nje aisee hawataki masihara .. mtu kanywa tu pombe kakuta ina mabaki ya kono kono tayari ameishtaki kampuni ya bia ..
 
Shida sana mimi huwa nakereka aisee .. huduma ovyo ndo maana watu wanafanya self medication .
Mtu unamuelezea unaumwa vipi hakuamini ..
Vipimo visivyo hitajika ..

Negligence ipo kubwa sana kwa nchi yetu hii
Nilisoma case za huko nje aisee hawataki masihara .. mtu kanywa tu pombe kakuta ina mabaki ya kono kono tayari ameishtaki kampuni ya bia ..
Yes, wenzetu wapo vizuri hawalipui lipui mambo kama huku kwetu.
 
Back
Top Bottom