Selfika na JF: Snap it. Show it

Anafanya revenge madai yake kaingiliwa ndoani 😂

Sema wale wake tu wako na miguu karibia wote, ukimtoa tichaa na Tamara.

If I were a man… ningekuwa na Mansion kama ile , na wake zangu wanne tu 😆😆
 
Anafanya revenge madai yake kaingiliwa ndoani 😂

Sema wale wake tu wako na miguu karibia wote, ukimtoa tichaa na Tamara.

If I were a man… ningekuwa na Mansion kama ile , na wake zangu wanne tu 😆😆
Revenge ya kwio. Uzuri wale wake wenzake wote wanapiga kazi shambani; angewaacha waenjoy hata % ya mume wao.

Tamara tapeli mkubwa, anachowaza ni kuchop money tu. Pale wake ni Mwiza (ticha) na Tombi. Shupiwe Kila siku "daddy daddy"; sasa hivi Nguzu kafulia hana hata habari. Kweli wakati wa shida yako, ndiyo unawajua walio wako kweli. No wonder Mwiza is his all time favorite wife.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…