Hahah ...mimi siku moja hivohivo
bana kwenyee x ray ya hapa kwenye nyonga bana sijui ndio dokta wa x ray yuko anataka kufanya taaluma yake nimelala pale kitandani akaanza kunishika huku juu kifuani alihisi shida yangu ya kifua nikamwambia hapana dokta sio huku ni hapa dokta!!
Yani ananiangalia hio x ray huku namuona kabisaaaaa kadindisha imevimba vibaya weeeeeeeehhh niliogopa sana !!
Hata ningekuwa Mimi ningekataa.
Kuna siku nimeenda hosp kutibiwa,,nikapewa sindano..nilidhani wataanichoma matakoni..
Nikajiwahi mapema nikamwambia namtaka Nurse wa kike anichome.
Yule kaka akawa mkali,anasema unaumwa halafu inachagua mtu..nikamwambia ndiyo..
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kikeeeeee!
Hata ningekuwa Mimi ningekataa.
Kuna siku nimeenda hosp kutibiwa,,nikapewa sindano..nilidhani wataanichoma matakoni..
Nikajiwahi mapema nikamwambia namtaka Nurse wa kike anichome.
Yule kaka akawa mkali,anasema unaumwa halafu inachagua mtu..nikamwambia ndiyo..
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kikeeeeee!
😂😂😂😂😂😂Hahah ...mimi siku moja hivohivo
bana kwenyee x ray ya hapa kwenye nyonga bana sijui ndio dokta wa x ray yuko anataka kufanya taaluma yake nimelala pale kitandani akaanza kunishika huku juu kifuani alihisi shida yangu ya kifua nikamwambia hapana dokta sio huku ni hapa dokta!!
Yani ananiangalia hio x ray huku namuona kabisaaaaa kadindisha imevimba vibaya weeeeeeeehhh niliogopa sana !!
Sindano inafanya kazi haraka kuliko dawa.Kipimo kigumu sana hicho
Hahaha na wakiume wanapenda hao kuchoma
Sipendi sindano bora unipe dawa nijue moja .
😃ila hata mie na feel comfortable kuchomwa sindano na nurse wa kike.
Vipimo vingine vya kijinga sana,Unaopt kwenda kuingiza mwenyewe.. inaruhusiwa..
Kwa kifua kweli ni nzuri ..
Mwee
Sindano inafanya kazi haraka kuliko dawa.
Halafu kifua kilikuwa kimebana sana..Bila sindano sijui ingekuwaje.
Yani unaona kabisa kitu hii hapa venye yuko hapo ana ku attend uwiii niliogopa nikatetemeka kweli hahahah!!!😂😂😂😂😂😂
Mwee🤣🤣🤣🤣
Sindano inafanya kazi haraka kuliko dawa.
Halafu kifua kilikuwa kimebana sana..Bila sindano sijui ingekuwaje.
Usikubali home kwao
Dah, nyumbani tena, labda anahisi anatekwa
Imenipita hio.Hahahaaa...na walimu tulicheza ila tulitoka droo!! Walimu wa kike kwa kike na wa kiume kwa kiume pia!!
Chini wapiKuna kipimo huwa wanaingiza huku chini kutoa sample..
Aisee kikinikuta kile sijui nitakuwa mgeni wa nani!
Yaani siwezi kukubali aiseee.
Una ujinga 🤣🤣🤣🤣 ila inaonyesha bado hujaumwa wewe…. Yan ile kuumwa kisawa sawa kwako bado..Hata ningekuwa Mimi ningekataa.
Kuna siku nimeenda hosp kutibiwa,,nikapewa sindano..nilidhani wataanichoma matakoni..
Nikajiwahi mapema nikamwambia namtaka Nurse wa kike anichome.
Yule kaka akawa mkali,anasema unaumwa halafu inachagua mtu..nikamwambia ndiyo..
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kike,
Nileteeni Nesi wa kikeeeeee!
Hahha acha kabisa kunabwale kila wakifunga kuingia uwanjani loohYaniiii... halafu Binti vyetu vyenyewe vya bushi wale wa town weeee full mashauzi kushangilia sasa wakwetu wanabaki tu nhiiiiiiiiii!!
Acha tu shos !! Hiko kitengo sio poa kabisaaa!! Nilijikaza aniattend haraka nitoke zangu asijeanzisha balaa pale!!huko mahospitalini kumbe kuna vihoja eeeeeh. Mbavu zangu mie.
Yani unaona kabisa kitu hii hapa venye yuko hapo ana ku attend uwiii niliogopa nikatetemeka kweli hahahah!!!
Shangazi ungecheza tyuuh,.Aunt wanatak wanishushie lawana nikakana namba
Hahha acha kabisa kunabwale kila wakifunga kuingia uwanjani looh
Acha tu shos !! Hiko kitengo sio poa kabisaaa!! Nilijikaza aniattend haraka nitoke zangu asijeanzisha balaa pale!!